Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Fanya manuva saii mchana wangu uwe vyedi rafikiiiii🦁🐒🐒🐒🐒😊Ngoja nitarudi siku moja
Fanya manuva saii mchana wangu uwe vyedi rafikiiiii🦁🐒🐒🐒🐒😊Ngoja nitarudi siku moja
Hi mamaa sasa ninampango wa kuja huko nikija jiandae ccy naileta 😊😊Sis hio swagg ya juu inanitosha kabisa iniandaliee namie nipendezepo asee 😁!
Yani uzi umefufuka upya, ccy jana tu nilikua nakuwqza aki nisameee nimekugaya vibaya.Nougaaaa sana sis akeeeeeee! ♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥
Asavali umeufufua uziii sio kwa kupoa hiviii
Fanya hivo naisubiria kwahamu sisHi mamaa sasa ninampango wa kuja huko nikija jiandae ccy naileta 😊😊
Uwe unatupia tupia 🤳 uzi usipoe sis! Majuzi nilipita pale nikasema ungekuepo kabla sijarudi tungeenda uone 77 yahuku Nyamagubwe ilivo yakuchoshaYani uzi umefufuka upya, ccy jana tu nilikua nakuwqza aki nisameee nimekugaya vibaya.
Na nimekumic pia.
Uuuuh yani tungeenda kuenjoy tu ccyUwe unatupia tupia 🤳 uzi usipoe sis! Majuzi nilipita pale nikasema ungekuepo kabla sijarudi tungeenda uone 77 yahuku Nyamagubwe ilivo yakuchosha
Sawa ccy nitaleta vimini vya kutosha tenaFanya hivo naisubiria kwahamu sis
Usisahau na vigaun vifupi fupi vipana
Nakuaminia sis!!Uuuuh yani tungeenda kuenjoy tu ccy
Nitakua natupia ccy ngoja nijitahidi
Upo rafik angu?View attachment 3280743Jumapili tulivu
Leo nipo karibu na hapa pa kahawa mapopo walinzi wa doria sie
Mwendo wa kunywa bundle na 8K😅😅Kwa saa ngap now
Vizuri sana enjoy enjoyLeo nipo karibu na hapa pa kahawa mapopo walinzi wa doria sieView attachment 3389545
Nawe enjoy Dompo 😋😋Vizuri sana enjoy enjoy
Me muda wowote nakunywa nikiwa na hamu.Nawe enjoy Dompo 😋😋
Mie hua napiga jumapili tu hayo makitu
😅😅 Wengine tumetenga siku maalumu, yani jumapili vyombo hadi natambaaa, sio kutembeaMe muda wowote nakunywa nikiwa na hamu.