min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,683
- 128,485
Mpaka nilewe shindii 😅Sitaki, selfika.
Mpaka nilewe shindii 😅Sitaki, selfika.
Si unalewa lakini!Mpaka nilewe shindii 😅
Shindii silewi kabisa😭Si unalewa lakini!
Basi lewa uje nikuone.Shindii silewi kabisa😭
labda niongee kifaransa kudadadeki, Sina uoga wa kikunguru 😂🤣Sawa kaka ,zimefika siku nikutumie namba ya shemeji uwe unawasiliana naye direct .
Kikubwa uanze na jambo afande
Shindii mimi ni mtu wa kuona maiti kila siku 😭 leo kijana mdogo , ni binti wa rika la binti yangu amenitoka mikononi mwangu najisikia vibaya mno , nafikiri kwa ufupi unaelewa jinsi napenda watu waishi hata kwa niaba yangu nipo tayari 😥😥Basi lewa uje nikuone.
😆😆Kheeeh kumekuaje tena huku? Si tulifurushwa humu. Lol
![]()
Loooh! Pole sana shindii🙆♂️Shindii mimi ni mtu wa kuona maiti kila siku 😭 leo kijana mdogo , ni binti wa rika la binti yangu amenitoka mikononi mwangu najisikia vibaya mno , nafikiri kwa ufupi unaelewa jinsi napenda watu waishi hata kwa niaba yangu nipo tayari 😥😥
Asante kaka Mshana nitapambana kujilinda😊Marahaba mdogo wangu linda sana hako kamwili ni ka kipekee na ka gharama sana🔥😍
Karibu ugali samaki mkavu na kachumbari mtoto mzuri
Asante sana, mie nishakula.Karibu ugali samaki mkavu na kachumbari mtoto mzuri
Kwa saa ngap nowAsante sana, mie nishakula.
Sa tano na dk 43Kwa saa ngap now