Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,312
- 79,971
Pole mkuuSina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔
Tupambane yote kheri ,karibu dada.