Poa masterBaadae mkuu Kuna kazi nafanya hapa kwenye pc
Wewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .Nipo sana, habari za kimataifa nazipenda maana nazifatilia sana. Lazima kujua hayo mavita yao yana impact kwenye kushuka na kupanda kwa $, mafuta.
Hahahaha bantu mtu mzito bwashee, sisi tule bia tuWewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .
Kwanini ikawa hivyo ? Kile kiasi nilikipata kwenye hela ya urithi nikawa don kwa muda ponda sana raha na wana kilipoisha nilienda kulia kwenye kaburi la mzee nakumuambia mbona hakusema uwa zinaisha kirahisi namna ile .
Itoshe kusema ulinirudisha mbali sana dada ila yote kheri ikiwa bado tunapumua tu
Niite diwani mtarajiwa
Kaka wewe acha tu ,dingi alivuta kuna vimali vikauzwa ili twende sawa nikala mgao wangu ,si nikazitumbua miezi minne sina hata mia sasa sister hiyo hela aliipiga miezi miwili na bado hawazi ilihali mimi kila nikikumbuka napiga mwano na machozi juu .Hahahaha bantu mtu mzito bwashee, sisi tule bia tu
Ipo kaka karibu sana 😅Kaka wewe acha tu ,dingi alivuta kuna vimali vikauzwa ili twende sawa nikala mgao wangu ,si nikazitumbua miezi minne sina hata mia sasa sister hiyo hela aliipiga miezi miwili na bado hawazi ilihali mimi kila nikikumbuka napiga mwano na machozi juu .
Tuzisake blood ,yote yanawezekana ndugu .
Napanga kwenda kwenu vipi wewe hujaacha nyumba tupu nipate kwa kufikia kaka ?
Sio muda kaka nitakucheki aiseeIpo kaka karibu sana 😅
Safi sana bro
Muda wa kazi kaka unataka nitoroke ?
Jamaa katisha mnoMuda wa kazi kaka unataka nitoroke ?
Sana ila anataka mwenzie nitoroke ili kesho nikalishwe vikao vya kijingaJamaa katisha mno
Shukrani 😎Safi sana bro
Nimerudi bosiPoa master
Tatizo warembo hawapo bwasheeNimerudi bosi
Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏Wewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .
Kwanini ikawa hivyo ? Kile kiasi nilikipata kwenye hela ya urithi nikawa don kwa muda ponda sana raha na wana kilipoisha nilienda kulia kwenye kaburi la mzee nakumuambia mbona hakusema uwa zinaisha kirahisi namna ile .
Itoshe kusema ulinirudisha mbali sana dada ila yote kheri ikiwa bado tunapumua tu
Niite diwani mtarajiwa
Daktari bingwa huyo, hadithi zake usizitilie maanani😅Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏
Mlete cocasticTatizo warembo hawapo bwashee
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏