Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo sana, habari za kimataifa nazipenda maana nazifatilia sana. Lazima kujua hayo mavita yao yana impact kwenye kushuka na kupanda kwa $, mafuta.
Wewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .

Kwanini ikawa hivyo ? Kile kiasi nilikipata kwenye hela ya urithi nikawa don kwa muda ponda sana raha na wana kilipoisha nilienda kulia kwenye kaburi la mzee nakumuambia mbona hakusema uwa zinaisha kirahisi namna ile .

Itoshe kusema ulinirudisha mbali sana dada ila yote kheri ikiwa bado tunapumua tu

Niite diwani mtarajiwa
 
Wewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .

Kwanini ikawa hivyo ? Kile kiasi nilikipata kwenye hela ya urithi nikawa don kwa muda ponda sana raha na wana kilipoisha nilienda kulia kwenye kaburi la mzee nakumuambia mbona hakusema uwa zinaisha kirahisi namna ile .

Itoshe kusema ulinirudisha mbali sana dada ila yote kheri ikiwa bado tunapumua tu

Niite diwani mtarajiwa
Hahahaha bantu mtu mzito bwashee, sisi tule bia tu
 
Hahahaha bantu mtu mzito bwashee, sisi tule bia tu
Kaka wewe acha tu ,dingi alivuta kuna vimali vikauzwa ili twende sawa nikala mgao wangu ,si nikazitumbua miezi minne sina hata mia sasa sister hiyo hela aliipiga miezi miwili na bado hawazi ilihali mimi kila nikikumbuka napiga mwano na machozi juu .

Tuzisake blood ,yote yanawezekana ndugu .
Napanga kwenda kwenu vipi wewe hujaacha nyumba tupu nipate kwa kufikia kaka ?
 
Kaka wewe acha tu ,dingi alivuta kuna vimali vikauzwa ili twende sawa nikala mgao wangu ,si nikazitumbua miezi minne sina hata mia sasa sister hiyo hela aliipiga miezi miwili na bado hawazi ilihali mimi kila nikikumbuka napiga mwano na machozi juu .

Tuzisake blood ,yote yanawezekana ndugu .
Napanga kwenda kwenu vipi wewe hujaacha nyumba tupu nipate kwa kufikia kaka ?
Ipo kaka karibu sana 😅
 
54172309116_4f4ad99cca_3k.jpg
 
Wewe mdada jana kuna kona nimepita nikakuta unatoa ushuhuda wa matumizi ya hela fulani aisee nimelia usiku mzima changanya nililewa basi kadada nilikokabeba kalikuwa na kazi ya kuninyamazisha .

Kwanini ikawa hivyo ? Kile kiasi nilikipata kwenye hela ya urithi nikawa don kwa muda ponda sana raha na wana kilipoisha nilienda kulia kwenye kaburi la mzee nakumuambia mbona hakusema uwa zinaisha kirahisi namna ile .

Itoshe kusema ulinirudisha mbali sana dada ila yote kheri ikiwa bado tunapumua tu

Niite diwani mtarajiwa
Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏
 
Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏
Daktari bingwa huyo, hadithi zake usizitilie maanani😅
 
Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔

Tupambane yote kheri ,karibu dada.
 
Back
Top Bottom