Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila MENEMENE TEKERI NA PERESI huwa unanifurahisha sana. Story zako huwa naziamini hivyo nakuonaga u miwazi na mkweli 😅😅😅😅😅 pole yaani tuko wengi na hatujifunzi, zikija tena tunasahau tunabaki na majuto. Namshukuru Mungu ni mzima na mambo yanaenda 🙏
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔

Tupambane yote kheri ,karibu dada.
 
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔

Tupambane yote kheri ,karibu dada.
Pole mkuu
 
Yeah Doctor wetu, basi napenda najua anachekesha. Anaweza kukwambia anatafuta mtu aliyeko huko, eti kakosa nauli ya kurudi job 😄😄😄😄😄 ili mradi mpasuke mbavu. Niliwaunganisha mnywaji mwenzako huyo 😅😅😅
Hahah kwamba mimi na dokta tuna haiba zinazofanana🤣🤣🤣
 
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔

Tupambane yote kheri ,karibu dada.
Pole sana, tuko pamoja. Duniani tunapita. Kuna siku za furaha, huzuni ndiyo inafanya iwe dunia kamili. Kosa si kufanya kosa, kosa ni kurudia kosa. Tujitahidi japo ni kama shetani zile karatasi. Wakati unatoa, huoni zikipungua. Mpaka sifuri zinanze kupungua ndiyo unashtuka 😔😔😔😔
 
Sina cha kupoteza tena dada ,nishapitia mengi kiasi kujifichaficha siwezi tena maana nahisi nisimulie moyo wangu uwe huru .
Tupambane japo ugonjwa huo bado sijapona nikiziotea lazima mtaa na kijiji chote wajue maana nikilewa lazima nikawasalimie hata waliofiwa miaka miwili nyuma 🤔

Tupambane yote kheri ,karibu dada.
Mzee wetu hajambo?, mpe Salam mwambia mwanae namsalimia na kumwombea kheri Sana.
 
Back
Top Bottom