Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂

Mmmh kumbe....
Ndo hivyo tuoneni tu mabadiliko ni kila mwezi, mwezi huu utqnenepa kiasi, mwezi ujao utapata chunusi, mwezi unaofata ngozi itafubaa unaofata ni kisirani.....maisha yanasonga tukiwaombeni hela mtupe tu
 
Kumbe nimepitwa na rangi ya Kitanga Mzee mwenzangu 🙆

Sijawahi kubahatika kumuona huyo Mjukuu pamoja na kushinda mara nyingi kwenye huu Uzi

Kapeace fanya kutupia japo moja Babu yako nivae miwani haraka kukuona 🤗
Huyo Mzee mwenzio kachanganya mafaili 🤣🤣
 
Huyo Mzee mwenzio kachanganya mafaili 🤣🤣
Inawezekana, kuna sehemu nilikusoma origin yako ni either BK ama Kwa Kagame

Kwa kuwa umri wangu umesogea, huenda nikawa nimesahau

But all in all, umetokea kunakofanyika Kilimo cha umwagiliaji 🙌🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom