Kosta unioni wameharibu Leo 😂 😁View attachment 3115270
Tangu Vijana wa hovyo wagundue apps za kupima umri halisi wa Wazee kupitia picha, Wazee tumeanza kutupia Kwa machale sasa 😜🤗
Chatini na Picha 👊
Ligi bado mbichi hii Kijana wangu, tukutane Mwakani panapo Majaaliwa tukinyanyua kwapa za Ubingwa 💪Kosta unioni wameharibu Leo 😂 😁
Hongera kuwa na babygirl, nami nikija kupata mtoto wa kike wa Uzeeni na Bibi yenu nitahakikisha anaanza kusuka akiwa na miaka 3 🤗Na Kimsichana changu.View attachment 3115291
🤣😁😁😁😁😁😁😁Ligi bado mbichi hii Kijana wangu, tukutane Mwakani panapo Majaaliwa tukinyanyua kwapa za Ubingwa 💪
Huyu shuleni wanaleta mikwara mbuzi hawataki wasuke.Hongera kuwa na babygirl, nami nikija kupata mtoto wa kike wa Uzeeni na Bibi yenu nitahakikisha anaanza kusuka akiwa na miaka 3 🤗
Wakati huo huo, nitahakikisha nafuga Mbwa wa Kali kwaajili ya kuimarisha Ulinzi Kwa binti yangu 👊🙌
Bora hasuki, Vijana wa hovyo wataacha kupita nyumbani na kuanza kuulizia Ice cream bure 😜Huyu shuleni wanaleta mikwara mbuzi hawataki wasuke.
Tukutane Taifa 💪🤣😁😁😁😁😁😁😁
Kwa aina ya kucha zako eeeh wewe ni....... mkono una misuli kabisa, hata 50 huna km umeenda sana ni 45 au 47 hapo sio mbaya unanifaa kwa matumizi ya kibinaadamu, black manView attachment 3115270
Tangu Vijana wa hovyo wagundue apps za kupima umri halisi wa Wazee kupitia picha, Wazee tumeanza kutupia Kwa machale sasa 😜🤗
Chatini na Picha 👊
Nipo odoSio Kwa kupotea huko jmn
Miss uuuu kipenzi 🥰🥰
Hahaha..........thanks for the compliment young lady 🤸🤸Kwa aina ya kucha zako eeeh wewe ni....... mkono una misuli kabisa, hata 50 huna km umeenda sana ni 45 au 47 hapo sio mbaya unanifaa kwa matumizi ya kibinaadamu, black man
Haiombwi hivyo babu🤣🤣Hahaha..........thanks for the compliment young lady 🤸🤸
Kwa kuwa sijavuta Kiko yangu leo, fanya kuniletea ili nikusimulie na hadithi za mwaka 47 🤗😜
😂😂😂 una kucha kama za marehemu babu, alikuwa kitombile eeeleuwiiiii amefariki na 95 yrs ila mpaka akiwa na 93 tulikuwa tunamfuma amebambia house housegirlsHahaha..........thanks for the compliment young lady 🤸🤸
Kwa kuwa sijavuta Kiko yangu leo, fanya kuniletea ili nikusimulie na hadithi za mwaka 47 🤗😜
Utapigwa 7 😂 😂 😁Tukutane Taifa 💪
Koh Koh Koh............ukiona naongea na Wajukuu, jifanye haujatuona🤗Haiombwi hivyo babu🤣🤣
Hahahaha..............huyo Babu yenu, alikuwa hatari 🙌😂😂😂 una kucha kama za marehemu babu, alikuwa kitombile eeeleuwiiiii amefariki na 95 yrs ila mpaka akiwa na 93 tulikuwa tunamfuma amebambia house housegirls
Thubutu, sio Kwa Simba hii 💪Utapigwa 7 😂 😂 😁
Nimebahatika kuwa karibu na wazee tabia zenu wanaume wengi zinafanana kwa karibu, hasa kupenda downtown, bamkwe naelewana nae ananikubali kinoma mpaka mwanae analeta viwivu, marehemu babu huyo tulikuwa marafiki mno hadi wajukuu wengine walikuwa wanaona wivu, na hii inaenda hadi kitaa nikiingia sehemu nikakuta aged men automatically tu nakuwa karibu nao kupiga stories, acha niwapende 'wazee' tu naona ndo nyota yangu ilipo,Hahahaha..............huyo Babu yenu, alikuwa hatari 🙌
Mimi niko na 78 lakini nguvu za kupiga hata kimoja Sina 😜