Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
😂😂😂 waje mi nataka kutoka banaUzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisa
Yaani wanaweka vyuma 🔥🔥🔥
😂😂😂 waje mi nataka kutoka banaUzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisa
Yaani wanaweka vyuma 🔥🔥🔥
Shangazi leo weekend anamsinga shemeji hapo labda baadae 🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Mwite shangazi
Aje na Sele waselfike ya pamoja
Saiv wazee nawahama nataka dogo dogo wa kunichangamsha nikikaa hivi nipate sms za micheps? Mara nidanganywe nilie na utu uzima huu basi na akili ichangamkeNipo nipo selfika pisi y’a babu monk 😍
Tuwekee ile uliyovunja kabati mahi
Mrembo kapeace ndio anaandaaa picha hivyo😂😂😂 waje mi nataka kutoka bana
Jamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike,Sijui hata
Nipe ubuyu kidogo shost jamani











Woyoooooooooo!!Tajiri pisi kali
Mwenye hela zake ni mmoja tu
Bantu![]()




Hivi alishaselfika humu?
Usije kuwa coca alitupiga kamba kwamba shem mfupi kama Sele wa mbosso.



tena ana macho makubwa, unaambiwa.



HeeJamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike,
Ko akawa anafuatwa PM, akipigiwa cm anaweka settup sauti ya kike,
Basi wazee wa JF wanajaa kwenye mfumo, kutuma miamala.
![]()
Nitumiee mahiii,Majasiri sana alooo.!
Wengine km wametahiriwa na panga havieleweki
Ila pm raha nyie ukiwa mmbea unabwagiwa mibalaa ya waja kwa raha zako..!
Kuna mmoja ana poumbou km za mbusi kiruuuuu.!!
Ila umbea naacha rasmi nitapofuka macho bure nishindwe kuweka order za maua ya vijora vyangu..
Mahi nakutumia sie tena wambea…!!





😂😂😂😂😂😂😂tena ana macho makubwa, unaambiwa.
Hata kushuka kwenye gari hawezi.![]()
Kumbe mambo ndio yalikuwa hivi...
Rumour has it




kwendraaa huko.Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??Saiv wazee nawahama nataka dogo dogo wa kunichangamsha nikikaa hivi nipate sms za micheps? Mara nidanganywe nilie na utu uzima huu basi na akili ichangamke
Oyoooooooo.!! 😂😂😂Mrembo kapeace ndio anaandaaa picha hivyo
Hii michuano bado mibichi kabisa.
Hatari🔥🔥
Thubutuuuu, autoe wapii u tall? Ni kifupii, kina macho makubwaa, hata kwenye Gari hakuweza kushukaa,shem aselfike ila najua shem wangu super tall bana




, nyiee mie sitakiiii, nimeokokaa.Hakuwa anaweka settup kuna dem alikuwa anampanga anaongea nao 😂😂😂Jamaa wa kiume, akawa na I'd ya kike,
Ko akawa anafuatwa PM, akipigiwa cm anaweka settup sauti ya kike,
Basi wazee wa JF wanajaa kwenye mfumo, kutuma miamala.
![]()
Nisamehe we bure.Mmeanza kutusimanga 🤣🤣
Yani mimi niliyekuwa nakusisitiza wewe ss hivi nimekengeuka kabisaa.!!uduguu nenda kwa kujilazimishaa.