Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
😅Mmeanza kuturusha roho na miamala 😂😂
Tayana-wog babu akikutumia na mimi unikumbuke
😅Mmeanza kuturusha roho na miamala 😂😂
Tayana-wog babu akikutumia na mimi unikumbuke
Hebu pitia ukague na yangu, maana sijui kama ipo wazi ama imefungwa 🤗Ngoja aje sijui ana utetezi gani, yani itabidi nikague pm za wakaka tunaokutana kutana humu,
Hongera sana, ni jambo zuri. Watu wangu wote wa karibu walijua nitadeal na hayo mambo. Ila imekuwa tofauti, japo niliwahi fanya kidogo nikaacha.Hivi wewe Uliniambia unapenda urembo hivi unajua kuwa unaweza kufungua kampuni yako ya urembo? Mimi ninakuja kwa kasi na kampuni yangu ya fashion brand 😊
Ikawe kheri inshallah tajiriHongera sana, ni jambo zuri. Watu wangu wote wa karibu walijua nitadeal na hayo mambo. Ila imekuwa tofauti, japo niliwahi fanya kidogo nikaacha.
Kwasasa inabidi uumize kichwa sana. Kuja na kitu cha utofauti kidogo, nitalifanyia kazi. Ahsante Genius Man kwa kunikumbusha. Iko siku nitatoka na Brand yangu, Mungu hufanya njia pasipo na njia 🙏
Hongera sana, ni jambo zuri. Watu wangu wote wa karibu walijua nitadeal na hayo mambo. Ila imekuwa tofauti, japo niliwahi fanya kidogo nikaacha.
Kwasasa inabidi uumize kichwa sana. Kuja na kitu cha utofauti kidogo, nitalifanyia kazi. Ahsante Genius Man kwa kunikumbusha. Iko siku nitatoka na Brand yangu, Mungu hufanya njia pasipo na njia 🙏
MashallahJumaa Mubarak wapendwa
Muwe na furaha day njema
Nkamu Lamomy uko wapi?Jumaa Mubarak wapendwa
Muwe na furaha day njema
Edit afu futa ibaki mojaNimearibu ku insert full image zimeingia mara 2 why? Bantu Lady
Umetisha sana mkali.Edit afu futa ibaki moja
Karibu sana nduguUmetisha sana mkali.
nani huyo mnywani?Jumaa Mubarak wapendwa
Muwe na furahidei njema
Una mdomo/lipsi nene nzuri zinasadifu kuwa yaliyomo yamo mkuuJumaa Mubarak wapendwa
Muwe na furahidei njema
Unaona, hunitag ukiselfika unapara majanga. Itakuwa ulirudia kuinsert mara 2, pole, vipi ulishafuta au ipo nikacheck? kikiboxerNimearibu ku insert full image zimeingia mara 2 why? Bantu Lady
Mweh camera tu labda lips nene nitoe wapi Mimi . Hebu nawe fanya mafekeche uubles Usiku wangu kwanza una muda mrefu sana hujatupia humu!Una mdomo/lipsi nene nzuri zinasadifu kuwa yaliyomo yamo mkuu