Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana 😂😂😂
Yani km mimi nilinunua kesi hata siijui chanzo vizuri 😹
 
Sasa Nkamu we umekuja kumpambania phase ya mwisho wakati anaelekea ushindini ..
Mwenzio Mimi toka phase one nilikuwa chawa kimbelembele wa shangazi ,wakati huo Sele anajimwayamwaya huko Duniani.

Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana 😂😂😂
Yani km mimi nilinunua kesi hata siijui chanzo vizuri 😹
 
Hatimaye cheka 2, leo wanalala mapema 🤣🤣🤣🤣🤣 kesho wakute manyoya 😉 mlale unono...
Hivi wewe Uliniambia unapenda urembo hivi unajua kuwa unaweza kufungua kampuni yako ya urembo? Mimi ninakuja kwa kasi na kampuni yangu ya fashion brand 😊
 
Back
Top Bottom