Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
Unachezea uwanja upi? 😂😂Naangaliaje wakati mm ndio nacheza hizo😁😁
Unachezea uwanja upi? 😂😂Naangaliaje wakati mm ndio nacheza hizo😁😁
Sio yeye hahusiki kabisa, ye yuko bize zake na kuselfika nitamuanzia wapi!! Mi wangu ni wale wanaojiona watakatifu yohana na wanawake ni luciferWee muache asije kurudi hapa aombe kufunguliwa pm 😂😂
Nakutumia clip soon uone napochezea😁Unachezea uwanja upi? 😂😂
Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana 😂😂😂Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
Yeye kesi yake nyingineSio yeye hahusiki kabisa, ye yuko bize zake na kuselfika nitamuanzia wapi!! Mi wangu ni wale wanaojiona watakatifu yohana na wanawake ni lucifer
Jitahidi clip iwe na dk za kutosha 😂😂😂Nakutumia clip soon uone napochezea😁
😁😁Jitahidi clip iwe na dk za kutosha 😂😂😂
Na mbwembwe ziwepo sio za kutegeana na uvivu sitaki 😜
Nasubiri 😹
Ila kesho aje atulipe hata nusu jamani tumepambana 😂😂😂
Yani km mimi nilinunua kesi hata siijui chanzo vizuri 😹
Umekumbuka kumeza dawa za kisukari na presha!
Jipakie jipakie babu ili kesho upate nguvu za kufungua pm hiyoBado mjukuu wangu
Country ilitakiwa awe Afisa misitu,siyo huko kwenye uccm.🤣🤣🤣 Nkamu em niache kwanza
😂😂😂 nkamu tulale kilaboCountry ilitakiwa awe Afisa misitu,siyo huko kwenye uccm.
Hilo nalo nenoJipakie jipakie babu ili kesho upate nguvu za kufungua pm hiyo
😂😂😂 nkamu tulale kilabo
Wameishiwa bando zao za kupima 😂😁😁😁Hatimaye cheka 2, leo wanalala mapema 🤣🤣🤣🤣🤣 kesho wakute manyoya 😉 mlale unono...
Mi nasubiri Boss ledi uwekeHatimaye cheka 2, leo wanalala mapema 🤣🤣🤣🤣🤣 kesho wakute manyoya 😉 mlale unono...
Hivi wewe Uliniambia unapenda urembo hivi unajua kuwa unaweza kufungua kampuni yako ya urembo? Mimi ninakuja kwa kasi na kampuni yangu ya fashion brand 😊Hatimaye cheka 2, leo wanalala mapema 🤣🤣🤣🤣🤣 kesho wakute manyoya 😉 mlale unono...