Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂😂
Nkamu
Kwa mafao nadhani mimi nimekuzidi aiseee
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! 😂😂😂

Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua wote… na shemeji nimemrudisha famchezo 🤣🤣🤣

Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
 
Nkamu hapana mi nimefukuza mpk babu miga na mabakuli wabishi wale..! 😂😂😂

Haya waasi miaka nenda rudi alikuwa anachuana nao lkn wapi?!! Mi nimefika nimetimua wote… na shemeji nimemrudisha famchezo 🤣🤣🤣

Mafao yangu makubwa hata shangazi analijua hilo
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
 
Nkamu
Sisi tulikuwa naye bega Kwa bega wakati anapambana kurudisha majeshi
Nyie mlikuwa mnaplay team zote 😂😂
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli 😹
 
Nyie mlikuwa mnaplay team zote 😂😂
Mi nilisimama naye mpk kamrudisha sele kwapani..!
Nipewe mafao yangu kwakweli 😹
Shangazi alikuwa anashambuliwa hadi tunaingilia kati
Mimi nilikuwa timu yake mzalendo kabla hajatuvuruga
 
Back
Top Bottom