Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Mi niko town kwenye maandamano bana, tupia pic nikazie maandamano 😹Njoo uone huku kijijini kwetu😁😁😁
Mi niko town kwenye maandamano bana, tupia pic nikazie maandamano 😹Njoo uone huku kijijini kwetu😁😁😁
Igweeeeeeee Madame 😹😹😹Dah!!
Ile kitu hatari sana, sahv imekuna original yake....😅😅😅
Yaani huulizi...ni copy & paste🥱🥱🥱
Nimeona aiseee!! 😹😹Zina bajeti ya matunzo matata sana
Unaandamana wapi wewe 😅Mi niko town kwenye maandamano bana, tupia pic nikazie maandamano 😹
Mnazi mmoja nishafika 😹😹Unaandamana wapi wewe 😅
Ngoja wakunyakue kama kifaranga cha kuku😅Mnazi mmoja nishafika 😹😹
Yani wewe kwa kunitafutia wastaafu uko vizuri! Wastaafu wote waje kwangu ufalme wa kapisi ni wao
Hawana jeuri hiyo 😹😹Ngoja wakunyakue kama kifaranga cha kuku😅
🤣🤣🤣 Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!Yani wewe kwa kunitafutia wastaafu uko vizuri! Wastaafu wote waje kwangu ufalme wa kapisi ni wao
Ulifichwa wapi weekend?
Au wewe ni yule uliekua unapiga maombi kwenye maandamano 😁Hawana jeuri hiyo 😹😹
Babe ndio nini michezo ya kuvizia hatupo online 😄Niliweka ukawa umesinzia, Saint Anne akatoka kidogo, huwezi amini nimeweka two times. Utaniambia muda utakaokuwa free nitaweka tena ila mida ya wanga 😅😅😅😅
😹😹😹 Sura ngumu bangi nyingi..!Tatizo uhb mi napenda sura ng'ong'o🙊
Niko poa sana msweet wake shem,🤣🤣🤣 Ndio vizuri tule mafao na viinua mgongo shosti..!
Kuna sehemu nilikuwa nashangaa mataa bana, leo nikasema wacha nikucheki shosti yangu.. uko pouwa?!
Sitaki kuwa murderer 😂😂😹😹😹 Sura ngumu bangi nyingi..!
Wewe ushazoea vita nakujua huyo mzee utampandisha sugar
Mi mamah wa ambushi na maombi wapi na wapi?? 😂😂😂Au wewe ni yule uliekua unapiga maombi kwenye maandamano 😁
Nilikumiso 😍Niko poa sana msweet wake shem,
wastaafu siwataki wanafanya na mie nakuwa mzee
🤣🤣🤣 Huyo unamwambia dawa zake za sukari ziwe zinakaa kwako na kwa bi mkubwa ili akianza kupumua kwa shida anatulizwa na njugu zake..!!Sitaki kuwa murderer 😂😂