Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,549
- 35,756
Lindeni waume zenu la saba washaingia mtaani...🙃🙃
Morning Odo, nimekurahisishia pia ili uweze kumsaidia picha yake ifutike. Ukiifuta hii comment... LamomyHe! He! He! 😍😍😍
Jamani mbona kuna wakaka wazuri humu??!! 🙆♀️
Mkuu umeoa?? 🤣🤣🤣
Hiyo ndinga sasa?!! Jamani watembea kwa miguu tunafokewa sana.!!
😁😁😁Mambo magumu kwanguKumbe shemeji?? 🙆♀️🙆♀️
Jamani mwebrania wangu naye anunue gari sasa.!!
Weeh chalii wa chuga hata Tvs inakushinda nayo jamani??! 🤣🤣🤣
Hiyo ni Mark II Grande, chuma roho ya paka.He! He! He! 😍😍😍
Jamani mbona kuna wakaka wazuri humu??!! 🙆♀️
Mkuu umeoa?? 🤣🤣🤣
Hiyo ndinga sasa?!! Jamani watembea kwa miguu tunafokewa sana.!!
Nimeiona chuma ipo vizuri ni Mark II GrandeMorning Odo, nimekurahisishia pia ili uweze kumsaidia picha yake ifutike. Ukiifuta hii comment... Lamomy
Uduguu usinywe tena Flying fish. Haikufaiii.Wacha weeeh!!
Shemeji kashafanya yake ukooooo!!
Halafu udugu nimeota wewe na Aaliyah mna mimba![]()












Wa kuwatazama au?ila kuna watoto wakali pesa ndio inakosekana ty





Siku hizi napitwaa sana na picha za humu, aaaaah.He! He! He!
Jamani mbona kuna wakaka wazuri humu??!!
Mkuu umeoa??
Hiyo ndinga sasa?!! Jamani watembea kwa miguu tunafokewa sana.!!






Kumekuchaaaaaaaaa!!!! Majiraniiiii hukuuuuu!!!humu jf nimekuja kugundua kuna watu wengi wananikubali sema tu ndio hawatak kukili ilo nafwatiliwa na wengi sana ase haya na mm nawasalimu nawapenda pia








Mxiiu hebuuuu tupisheeeehumu jf nimekuja kugundua kuna watu wengi wananikubali sema tu ndio hawatak kukili ilo nafwatiliwa na wengi sana ase haya na mm nawasalimu nawapenda pia
mnawivu 🤣🤣Kumekuchaaaaaaaaa!!!! Majiraniiiii hukuuuuu!!!
Mwachii unatakaa kuchachuaa selfikaa? Woiiiiiii
![]()
ahahah 😂Mxiiu hebuuuu tupisheeee