Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Unaogea jokoni
Bafuni unapikia
Wewe gumzo mjini
Kwako kaachia ngazi
Kwangu kaweka makazi
Bafuni unapikia
Wewe gumzo mjini
Kwako kaachia ngazi
Kwangu kaweka makazi
😂😂😂HatariWako nishamchukua
Kwako harudi tena
Katamka wasiwasi
Nampikia maandazi na Chai ya tangawizi
Kisa nnatoa dozi🔥🔥🔥🔥
Jibebe na jeuri zako
Ooh utalia
Jiji utalijua
Wimbo wa michepuko😂😂😂
Haforce sautiLongolongo za waswazi
Hazinipi mtihani
Hazininyimi usingizi
Wa kulala na mwandani
Nimerudi Kwa mpenz
Sasa maneno ya nini
Saint Anne ameingia kiboko yangu
Yaani noma sana 😍Haforce sauti
Sauti ipo imenyooka
Katibu napoteza muda wa kuwapa mbu chakulaMhh mbona naona makombora tu, Kuna Nini muhasibu ?
Azam ni wapuuziKoma kunifatilia
Nina bwana wangu ndani
Nadhani unamjua
Handsome boy mjini
Wengi wamgombania
Amewapiga na chini 😃😃😃
Saint Anne
Hatari😂😂😂😂😂😂Koma kunifatilia
Nina bwana wangu ndani
Nadhani unamjua
Handsome boy mjini
Wengi wamgombania
Amewapiga na chini 😃😃😃
Saint Anne
Sana kiukweli wanajua kuimba sana na maneno yamepangika haswaHatari😂😂😂😂😂😂
Dada amepanga maneno yakapangika😂😂😂😂
Wamama wanachamba hawa😂😂😂😂😂🙌🏿Sana kiukweli wanajua kuimba sana na maneno yamepangika haswa
Nimekumbuka Songea,Umekumbuka Songea?Au jeshini?
Naona ITV hapa 823 KJ kikosi chetu kimeibuka kidedea




