Shammy-
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 7,178
- 18,865
Min babangu tupia bas eeh baba eeh😄🤣😌8 people 😁😁😁
Min babangu tupia bas eeh baba eeh😄🤣😌8 people 😁😁😁
Kabiisa baki hapohapoNipo sitokiiii😄😄
Powaaaaaaaaaaaaaa 🤣🤣mambo zenu🤣🤣
una mpenziPowaaaaaaaaaaaaaa 🤣🤣
Kitufe alobonyeza ashikilie hapohapooo! Bado tunasubiria naked sieeeMin umefuta nn😄😄
Kitufe alobonyeza ashikilie hapohapooo! Bado tunasubiria naked sieee
🏋️🏋️🏋️Nakusubiriii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo babu mwenzako nilizaliwa na mama kijana, naye alizaliwa na mama yake kijana toto la kinyamwezi.. ndio huyo bibi yangu kaniharibu na mineno yake 😂😂Siku hizi una misamiati migumu Mjukuu hadi Babu yenu inanishinda 🤗
Uduguu em njoo unishauri kwanza, ukifika nishtue yani nimevurugika.. sijui ndio nimetupiwa jini hii sio kawaida kabisaa.!! 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] endeleaa na kazii uduguuu, mie nalala mapema leo.
Imekuajeeeee? Wee uduguuu nambiee, nishafikaaa hapaaa.Uduguu em njoo unishauri kwanza, ukifika nishtue yani nimevurugika.. sijui ndio nimetupiwa jini hii sio kawaida kabisaa.!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Wapii Gran Pah? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2484][emoji2484][emoji2484]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi yako amechachukaa vibayaaaa.Tatizo babu mwenzako nilizaliwa na mama kijana, naye alizaliwa na mama yake kijana toto la kinyamwezi.. ndio huyo bibi yangu kaniharibu na mineno yake [emoji23][emoji23]
Kuna siku simu yake inaita nikamwambia bibi pokea simu au nikupokelee akanijibu, We mtoto koma,”Huyo mshefa wangu alikuwa footballer” [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi na mi nikakumbuka nikakuita hivyo kina bibi wakuje