Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,355
- 176,161
Hata sijui ni ganiako anakula...vile ndo maana sijaambiwa karibu kwa table





Shaamka kitambo she.Goòd morning shemlove.
Amka basi
Sitakiiii!! Weka basi.Aaah Atoto mzima wewe!
Kwa app sioni notifications myMmh kitambo sana...maybe kama alirudia tena hiyo title...Active yupo siku zote
So ni gani inatokea, huoni notifications, ni kwa app ama hadi kwa browser?

Pole sana jamaniAisee nmeona mguu mzuri saaana. Laini saana...mguu mguu. Niliwaza saana.
Amkeni keshoWale wa manchester united tunaamka saa ngapi??
NiwaaaacheeeeeHalooo![]()
Baba J
Niko NakaraMarangu moshii......
Amen Mkuu!!
Shukraan sana mkuu" Uhali gani kiongoziHabari gani jogoo wa shamba .nakupungia mkono kwa mbali mkuu ...umetekeleza ilani wa huu uzi vilivyo.
Nifungue macho kidogo mkuu HawachiMkuu una utajiri kwenye kiganja chako.

DowntownHii ngoma Kijitonyama Makumbusho?
Shukraan sana Sakayo"" Tabasam huficha mengiAmen Mkuu!!
Huwa napataga sana amani nikiona mwanaume anatabasamu!! Napenda sana kuona tabasamu!