MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Aaah Atoto mzima wewe!Halafu sijasahau ujue!!!!!!
Aaah Atoto mzima wewe!Halafu sijasahau ujue!!!!!!
Mzee baba,wale wezi hujawapata nikusaidie kuwapa kipondo
Hiyo ya ngozi ya chatu siifahamuSubiri yakupate.. Kuna mdau humu kaibiwa mbwa na ni wakali kinyama... Hivi una habari mbwa ukimwonyesha ngozi ya chatu atakufuata popote? Tena kimya na kama zezeta kabisa
Mji wa wenye mjiView attachment 1282176
Mtu anapigwa Sana lakini hakati motoWezi wa mafuta ya transformer.. Wameshalala kuzimu View attachment 1280041
Napenda sana huu uoto. I'd have to go back home kwa kweli.Kijani kibichiView attachment 1282152
Kiongozi, huo moustache una afya balaa

Mkuu una utajiri kwenye kiganja chako.
Napenda sana huu uoto. I'd have to go back home kwa kweli.
Mfafanulie kwa faida yangu pia ni hiyo mistari amaMkuu una utajiri kwenye kiganja chako.
Habari gani jogoo wa shamba .nakupungia mkono kwa mbali mkuu ...umetekeleza ilani wa huu uzi vilivyo.


Kichwa hakina mambo mengi,machache na ya muhimu.. hello DecemberView attachment 1282174
weeeee wanyakyusa tuko vizuri kwenye hiyo sekta asikudanganye mtu eti,, tuma ile picha basi mama we..
sasa mimi mwanamke mwenzio unatakaje nikubembeleze hivyo jamani kama naomba kitu gani sijui,, khaaa..



Duuh hayo mate hayajakauka kweli??

Kwani haijafika?Kwahiyo picha ndiyo umegoma kabisa kututumia eti??
Ukipanda basi kama Kilimanjaro lazima ukutane na totozi za kufa mtu au BMHapo kwa dar Express kwangu weka kilimanjaro![]()