Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
Mie nishatumia ,nyie ndio wakunogesha jukwaa kwa pichaTupia na wewe
Mie nishatumia ,nyie ndio wakunogesha jukwaa kwa pichaTupia na wewe
Nogesha na wewe, hata sie tumeshatupia huko juuMie nishatumia ,nyie ndio wakunogesha jukwaa kwa picha
Wezi wa mafuta ya transformer.. Wameshalala kuzimu View attachment 1280041
Maandalizi sio boss
Kwamba mmebishana weee ukachoka ukaamua ujipe kombeanne mama,, mimi sihitaji kura za maoni ili ipitishwe kwamba ninajua kinyakyusa kwa vile najua kuwa najua basi imeisha hiyo haina mjadala tena..
![]()











Siku hizi kila nikiingia jf mada nyingi ni ukimwi tu. Yani najiona kabisa nikirudi chaputa kwa kasi sana![]()





Watoto banaMimi navuta ila wewe![]()