Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mpo wengi babu ila wewe babuu mjanja wa town 😹😹
Huo ujanja unatoka wapi Kwa Mzee wa Umri wangu tuliozaliwa kabla ya Computer😜

Njoo unilipie bill Mjukuu
IMG_20240709_213255_754.jpg
 
Babu naomba bisi 😋😋
Bila shaka hizi kaagiza bibi ww una glass ya whiskey pembeni 😹😹
Njoo uchukue Mjukuu 🤗

Ungependa waweke sukari ama chumvi?

Kama ulivyosema, utanikuta nimekaa kwenye Kona hivi nakunywa zangu Whiskey 😜
 
Njoo uchukue Mjukuu 🤗

Ungependa waweke sukari ama chumvi?

Kama ulivyosema, utanikuta nimekaa kwenye Kona hivi nakunywa zangu Whiskey 😜
😹😹😹 Nataka chocolate babu
Nakuja babu ss hivi ngoja niite boda si unajua bonyokwa kulivyo mbali mpk kufikia huko down town
 
😹😹😹 Hii kali nipende nini?? Hiyo picha ya huyo jamaa uliyemchukua insta sijui umemuokoteza wapi huko?!!
Au hiyo fake id uliyokuwa nayo??
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
 
😹😹😹 Najaribu kukufikishia ujumbe babu ili uwaeke chini uwape sheria za kiumeni
Lakini hilo tatizo naona sio kubwa sana Mjukuu, nenda kapitie Uzi wa Tunda kimasihara uone vile Wanaume walivyo na performance isiyo na mashaka.

Tatizo limebaki Kwa sisi Wazee tu, najua imetokana na Umri wetu kututupa Mkono 🤗
 
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Mapambano yanaendelea 😂😂😂😂
 
We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Ndio unavyojidanganya 😹😹😹
Hebu soma comments zangu kwa makini kuna kitu utagundua.!!
Wewe lete picha zako halisi bana, hizo za kukwapua mimi nakujoke tyuu hapa.!!
 
Back
Top Bottom