Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We sema unanielewa tu.. hamna cha jamaa wa insta wala wapi.. mara useme unanitamani, mara picha hazifanani, mara weka picha ya siku ile, halafu cha ajabu unakuja kujigundua we ndiye una wenge...

Hivi kumbe kuchat humu unaniona mie level zako eti?
Ndio unavyojidanganya 😹😹😹
Hebu soma comments zangu kwa makini kuna kitu utagundua.!!
Wewe lete picha zako halisi bana, hizo za kukwapua mimi nakujoke tyuu hapa.!!
 
Lakini hilo tatizo naona sio kubwa sana Mjukuu, nenda kapitie Uzi wa Tunda kimasihara uone vile Wanaume walivyo na performance isiyo na mashaka.

Tatizo limebaki Kwa sisi Wazee tu, najua imetokana na Umri wetu kututupa Mkono 🤗
😹😹😹 Ule uzi una chai sijawahi kuona.!!
Kule kuna watu wanaunga mpk bao 9 usiku ndani ya nusu saa.!!
Ule uzi naupitiaga nikihitaji kucheka
 
Back
Top Bottom