and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,977
UK, Ukerewe, unapafahamu?Nchi?
UK, Ukerewe, unapafahamu?Nchi?
100 nifanyie mpango nije huko, yaani Christmass sitaki inikutie bongoUK, Ukerewe, unapafahamu?
Nilikua namaanisha Ukraine..100 nifanyie mpango nije huko, yaani Christmass sitaki inikutie bongo
Huko hata housegirl nakuja kupiga
Mmmh! Sawa tuNilikua namaanisha Ukraine..
HizoIsidingo
It mighty be you
Mara Clara.
Nkamu uwe unaangalia taarifa
Huyu Dada Farhia aisee fundi sana anajua kutangaza..namna anvyointroduce muhtasari na kujitambulisha🙌🔥🔥🔥
Amefanya namuenzi Mzee,saa2 kamili nakuwa na remote .
mambo?Hizo
It might be you
Mara Clara km sikosei zilikuwa zinaonyeshwa STAR TV
Usinambie ujeuri mapema wa kumuenzi mzee, sasa ukipata watoto si watakoma hata cartoon hawatoangalia 😹😹😹
Mnayaanza kuyamaliza mnashindwa 😹😹mambo?
Msibonyeze kitufe sasa mbona hamjiamini namna gani?? 😹😹😂😂
Tumekaweza lakini.
mambo mrembo?Mnayaanza kuyamaliza mnashindwa 😹😹
Si tulikubaliana hakuna kubonyeza kitufe.!!
Slow slow mbele mteremko mkali
Imeuma naona chap mmeripoti 😹mambo mrembo?
Yaani watakomaHizo
It might be you
Mara Clara km sikosei zilikuwa zinaonyeshwa STAR TV
Usinambie ujeuri mapema wa kumuenzi mzee, sasa ukipata watoto si watakoma hata cartoon hawatoangalia 😹😹😹
Achana na ugomvi selfika, kwa sababu ugomvi wenyewe huwezi... tuachane na hayo mambo, jaribu ku behave..Imeuma naona chap mmeripoti 😹
😂😂😂 Watajuta kukutambua mama wa kinyakiYaani watakoma
Na kwanza saa2 wote kusoma ,hakuna kuangalia tv saa2
Tupo nje ya muda😂😂😂
Nyie dhaifu zaidi ya kubonyeza kitufe hamna jipya. 😹Achana na ugomvi selfika, kwa sababu ugomvi wenyewe huwezi... tuachane na hayo mambo, jaribu ku behave..
Mi leo na selfika tu, uzi unasema ku selfika..Kibabu kumbe 😹😹😹
Ulee wajukuu Grahams umepata pacha wako ila huyu kakuzidi
😹😹😹 ndevu km brush la chachandu, halafu ile ya siku ile na ya leo mbona tofauti??
Endelea mi niko hapa kukuangalia na kuona unavyojitekenya 😹😹😹Mi leo na selfika tu, uzi unasema ku selfika..
Sio hiyo bana, ipo nyingine hebu weka zote ulizochukua huko 😹😹😹
Watu ni wabishi..Sio hiyo bana, ipo nyingine hebu weka zote ulizochukua huko 😹😹😹