Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹 ndevu km brush la chachandu, halafu ile ya siku ile na ya leo mbona tofauti??
Na ww ushaanz michezo ya mzee wa kigambonino 🤣
Ile uliyopiga coca akakusifia unaikumbuka?? Kwahiyo umezeeka na kunenepa ghafla?? 😂
Mi handsome boy na bado kijana mbichi damu inachemka, halafu we hadi siku nikupe hogo ndipo utaniheshimu, hebu endelea ku selfika..
 
Mi handsome boy na bado kijana mbichi damu inachemka, halafu we hadi siku nikupe hogo ndipo utaniheshimu, hebu endelea ku selfika..
😹😹😹 Thubutuuu!!
labda huyu
 

Attachments

  • IMG_3040.jpeg
    IMG_3040.jpeg
    29.7 KB · Views: 9
Kibabu kumbe 😹😹😹
Ulee wajukuu Grahams umepata pacha wako ila huyu kakuzidi
Nina bahati mbaya sijamuona huyo Mzee mwenzangu 😜🙌

Kumbe mkipata shida kwenye Ndoa zenu, MaBabu tumejaa hapa kuweza kuwashauri 🤗
 
Back
Top Bottom