Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,842
- 57,486
Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu 🤗Nakujaaaa chaap gran bah!!![]()
Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu 🤗Nakujaaaa chaap gran bah!!![]()
Hahaha...............hayo mambo Mwaka 47 ilikuwa yanafanyika kwa Siri mno.
Nyie miaka yenu hadi Mwanaume anamtuma mwenyewe Mkewe awe na Kidumu aka Danga ili kumsaidia Majukumu
Madanga ya Mke wangu ~D Voice ft Meja Kunta
![]()




nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.Niagiziee juice naNikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu![]()
.Usijali Mjukuu 🤗Niagiziee juice na.
Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light....Hahaha........mnataka Wazee tuvuke barabara haraka utasema tuna mbio kama za nyie Vijana 😜
Umefurahi nini Mjukuu?nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.
Umefurahi nini Mjukuu?
Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva![]()




mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee.Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo 😜Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light....
Ahahaha acheni mambo yenu nyie
Hahaha............wenye huo moyo ni sisi Babu zenu tu 😜mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee.
Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih
I hope hakijapoaHapo sawa, nimeshamwita mtu wa Jikoni
Usikawie kuja kisije kupoa 🤗
Kinakusubiri wewe tu 😜I hope hakijapoa
Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee.Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo 😜
Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogoAlafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee.
Ulikua na nyota tatu 🌟 🌟 🌟 ila sasa nishaondoa moja
Kwasasa una nyota mbili tuu..Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo
Kuwa na imani na Wazee 🤗
Kuteteana ni muhimu MkuuKwasasa una nyota mbili tuu..
Unatetea sana hao watu
Ahahahahahah kuna mda nikisema wewe Grahams ni mzee wa hovyo unasema mimi nakukosea..Kuteteana ni muhimu Mkuu
Mwaka 47 Kuna mwenzetu mmoja alikuwa anatembea na Mke wa jirani yetu, bahati mbaya mume wa yule Dada alirudi ghafla.
Katika kujitetea jamaa akakimbia na kuingia Kwenye nyumba yangu, kumbuka kipindi hicho nilikuwa balozi wa nyumba 10 🤗
Ili kuokoa jahazi, nililazimika kutoka nje na Panga langu eti nami nikijifanya kumtafuta huyo Kijana anayetafutwa 😜