KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,510
- 88,975
kwenye hili acha niwe muoga hapana hii...😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unasindikiza tyuuh mie!! Wee mwanaume muoga Lol
kwenye hili acha niwe muoga hapana hii...😃[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si unasindikiza tyuuh mie!! Wee mwanaume muoga Lol
Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu 🤗Nakujaaaa chaap gran bah!! [emoji482][emoji482][emoji482]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.Hahaha...............hayo mambo Mwaka 47 ilikuwa yanafanyika kwa Siri mno.
Nyie miaka yenu hadi Mwanaume anamtuma mwenyewe Mkewe awe na Kidumu aka Danga ili kumsaidia Majukumu
Madanga ya Mke wangu ~D Voice ft Meja Kunta
[emoji119][emoji119]
Niagiziee juice na [emoji488].Nikuagizie juice ama soda Kubwa Mjukuu [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwenye hili acha niwe muoga hapana hii...[emoji2]
Usijali Mjukuu 🤗Niagiziee juice na [emoji488].
[emoji482][emoji482]Usijali Mjukuu [emoji847]
Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light....Hahaha........mnataka Wazee tuvuke barabara haraka utasema tuna mbio kama za nyie Vijana 😜
Umefurahi nini Mjukuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaa!!! Hatareee tupuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee.Umefurahi nini Mjukuu?
Kwamba Babu ninajua hadi nyimbo za Vijana wa Bongofleva [emoji847]
Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo 😜Mbona kuvizia watoto wa 2k mpo speed ya light....
Ahahaha acheni mambo yenu nyie
Hahaha............wenye huo moyo ni sisi Babu zenu tu 😜[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sasa kuna mjukuu mkweo hili la mafiga 3 hatakii, au yeye hana taarifa hiyoo? Mkaage nao muwaelezee.
Wanatusumbua sisi huku. Woiiiiih
I hope hakijapoaHapo sawa, nimeshamwita mtu wa Jikoni
Usikawie kuja kisije kupoa 🤗
Kinakusubiri wewe tu 😜I hope hakijapoa
Alafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee.Unajua baridi Lina madhara Kwa Wazee, kwahiyo ili kujilinda na baridi wengi huamua kujiongeza Kwa hao dogodogo 😜
Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogoAlafu mzee wangu sasa naanza kuvua vyeo aiseee.
Ulikua na nyota tatu 🌟 🌟 🌟 ila sasa nishaondoa moja
Kwasasa una nyota mbili tuu..Sio Wazee wote wako hivyo, binafsi sio mmoja wapo hata kidogo
Kuwa na imani na Wazee 🤗
Kuteteana ni muhimu MkuuKwasasa una nyota mbili tuu..
Unatetea sana hao watu