KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,761
- 86,423
yako kwanza halafu ndo nitupie huu wembamba unene wangu ..🤣wee K una heka heka sanaaa!! Usiamshee vilivyolala. Em niachee mie.
Tupia picha yako kwani.
yako kwanza halafu ndo nitupie huu wembamba unene wangu ..🤣wee K una heka heka sanaaa!! Usiamshee vilivyolala. Em niachee mie.
Tupia picha yako kwani.
yupo intelligent vyakutosha huyo..Hapa asipoelewa hii Lugha itabidi tumrudishe darasa la 6C 😜
Mlimanii city, unatazama totoz za Block D na E.Nimefika dakika 25 zilizopita
Kwasasa nipo KukuKuku hapa Mlimani nawaangalia Vijana wanavyokula maisha![]()





yako kwanza halafu ndo nitupie huu wembamba unene wangu ..![]()




kwendraaaaa huko.Hahaha...........hata Mimi naona, sijala pilau la harusi kitambo.yupo intelligent vyakutosha huyo..
niende wapi ikiwa kwako ndo nimefika laaziz..?kwendraaaaa huko.
kweliEm sema kweliii?![]()
Si unajua Babu yako macho yangu hayaoni mbali, kwahiyo nipo nasikiliza Muziki huku nakunywa Juicy kama alivyosisitiza Profesa Janabi 😜Mlimanii city, unatazama totoz za Block D na E.
Nakujaa baadae kidg kula maspta maspta!! Pochi yako c nene gran bah.
Lol
Hahaha...........hata Mimi naona, sijala pirau la harusi kitambo.
Hapa nipo kuombea hicho mnachowaza kitokee ili Wazee tuje kula Pilau na Biriyani![]()



wee babuu, mkweo humjuii? Unajizima dataaa.komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..🤣 wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwiHahaha...........hata Mimi naona, sijala pirau la harusi kitambo.
Hapa nipo kuombea hicho mnachowaza kitokee ili Wazee tuje kula Pilau na Biriyani 🤗
muache ajizime tutamzindua...😀wee babuu, mkweo humjuii? Unajizima dataaa.
Watu weuweeeeee!!!!! Mtu na gran bah wakee mjiniii.Si unajua Babu yako macho yangu hayaoni mbali, kwahiyo nipo nasikiliza Muziki huku nakunywa Juicy kama alivyosisitiza Profesa Janabi![]()
Kuhusu Pochi, nadhani hapa ni jirani na ATM, kwahiyo nikiishiwa ni kuwapigia Wajukuu wanitumie nyingine tu![]()




Kwani hujui ule msemo kwamba Mafiga matatu ndiyo yanaivisha Chungu 😜wee babuu, mkweo humjuii? Unajizima dataaa.
komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi





wee K ni mwehuu ujuee, sasa huyo babuu angu akati. Au hutakii mke wee?Tatizo sasa hivi tumevamiwa na wazee wa hovyo ahahahhaView attachment 3031674
Nakumbuka Mwaka 47 ilikuwa gari zinasimama zote wakikuona Mzee unavuka barabara, Siku hizi unatakiwa kuwa na mbio za Farasi kuweza kuvuka 🙌
Hello Tuesday 🥂
Mkuu sisi wengine ni Wazee wa Umri, hao Wajukuu tumewaachia nyie Vijana 😜🤗komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..🤣 wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi
Kwani hujui ule msemo kwamba Mafiga matatu ndiyo yanaivisha Chungu![]()
Koh Koh Koh .......![]()




nimechekaaa sanaaa!! Had babuu anahamasisha mafiga 3, kwanini mie nisifuate?niende wapi ikiwa kwako ndo nimefika laaziz..?
mi nachohitaji ni hilo komwe lako ndio nimekupendea hicho! fungua moyo nikufungulie upendo




wachaaaa wee!!!