Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimefika dakika 25 zilizopita

Kwasasa nipo KukuKuku hapa Mlimani nawaangalia Vijana wanavyokula maisha
Mlimanii city, unatazama totoz za Block D na E.
Nakujaa baadae kidg kula maspta maspta!! Pochi yako c nene gran bah.

Lol
 
yupo intelligent vyakutosha huyo..
Hahaha...........hata Mimi naona, sijala pilau la harusi kitambo.

Hapa nipo kuombea hicho mnachowaza kitokee ili Wazee tuje kula Pilau na Biriyani 🤗
 
Mlimanii city, unatazama totoz za Block D na E.
Nakujaa baadae kidg kula maspta maspta!! Pochi yako c nene gran bah.

Lol
Si unajua Babu yako macho yangu hayaoni mbali, kwahiyo nipo nasikiliza Muziki huku nakunywa Juicy kama alivyosisitiza Profesa Janabi 😜

Kuhusu Pochi, nadhani hapa ni jirani na ATM, kwahiyo nikiishiwa ni kuwapigia Wajukuu wanitumie nyingine tu 🤗
 
Hahaha...........hata Mimi naona, sijala pirau la harusi kitambo.

Hapa nipo kuombea hicho mnachowaza kitokee ili Wazee tuje kula Pilau na Biriyani 🤗
komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..🤣 wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi
 
Si unajua Babu yako macho yangu hayaoni mbali, kwahiyo nipo nasikiliza Muziki huku nakunywa Juicy kama alivyosisitiza Profesa Janabi

Kuhusu Pochi, nadhani hapa ni jirani na ATM, kwahiyo nikiishiwa ni kuwapigia Wajukuu wanitumie nyingine tu
Watu weuweeeeee!!!!! Mtu na gran bah wakee mjiniii.
Nakujaaa kumaliziaa hiyoo juice.
 
komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!.. wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi
wee K ni mwehuu ujuee, sasa huyo babuu angu akati. Au hutakii mke wee?
Huyo ndo mpokea mahari.
 
komenti lako limekaa kinafki sana unafikiri sioni chat zenu! mnataka mkashikishane usukani huko!..🤣 wacha niendelee kulumbana kwa hoja huko nifanye sijaona lkn najua kabisa mkono tupu haulambwi
Mkuu sisi wengine ni Wazee wa Umri, hao Wajukuu tumewaachia nyie Vijana 😜🤗
 
Kwani hujui ule msemo kwamba Mafiga matatu ndiyo yanaivisha Chungu

Koh Koh Koh .......
nimechekaaa sanaaa!! Had babuu anahamasisha mafiga 3, kwanini mie nisifuate?
Ba tamuu jiandae kupata wasaidiziii, lol
 
Back
Top Bottom