Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naapa, hizi picha Mh DC amezituma sana JF, Wapuuzi hawawezi kuelewa...

I swear sina haja kumsingizia mtu, huyu jamaa ni bingwa wa ku post na kufuta chap, lakini wengine humu huwezi tuchezea akili, huwa anapost na kufuta chap...

View attachment 3025209
Yani hapa ndio umejidhihirisha shangazi yako anakutuma, ona alihifadhi comment 🤣🤣🤣

Mwambie tukianza kuselfika na pori lake asinune.!! Huyo ndiomana tulimkataa kitambo coz mjinga na hajiamini
 
alerts.png


DC njoo na ID moja ueleweke, mnanijazia notifications huku... hadi manzi yangu ananiuliza unatumiwa messages na nani... mzee punguza kuni quote na zako mbili...
 
Nkamu nna trip ya uko weekend hii mbona ntafungasha aisee!! Hakuna kitu nitaacha.

Mimi nazipenda hizi mboga mpk sijielewi
Mwee ofwa Nkamu
Utatukuta

Mimi mwenyewe nazipwnsa sana hata kila siku naweza kula

Mungu fundi sana kutuletea nguniani😂
 
😂😂😂 Shangazi yake katudhalilisha sana wanawake, unamiliki vipi pori kubwa km lile?!!
Tatizo ni hivi vichoko anavyoviendekeza. Sijui yupo wapi nimpige za uso, alikuja na jina gani sijui nikawa sijamgundua
 
DC MImi hapa nipo peke yangu...
Huyo shangazi ni nani?
Hata sikuelewi, mi sinaga urafiki humu na mtu....

Niekuonya toka jana husikii, baadae ni dozi nyingine inateremka Mheshimiwa ,
Mwambie antiyo aje namsubiri nna shida naye, nina zana zote za kumuondolea magugu
 
Back
Top Bottom