Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Haka kachoko kangekua fresh kangepewa🤣🤣🤣🤣 Wizzy mbavu zinaniuma mwenzio.!
Magugu mengi
Haka kachoko kangekua fresh kangepewa🤣🤣🤣🤣 Wizzy mbavu zinaniuma mwenzio.!
Magugu mengi
Yani hapa ndio umejidhihirisha shangazi yako anakutuma, ona alihifadhi comment 🤣🤣🤣Naapa, hizi picha Mh DC amezituma sana JF, Wapuuzi hawawezi kuelewa...
I swear sina haja kumsingizia mtu, huyu jamaa ni bingwa wa ku post na kufuta chap, lakini wengine humu huwezi tuchezea akili, huwa anapost na kufuta chap...
View attachment 3025209
Mwee ofwa NkamuNkamu nna trip ya uko weekend hii mbona ntafungasha aisee!! Hakuna kitu nitaacha.
Mimi nazipenda hizi mboga mpk sijielewi
Ngumu kumezaMpaji Mungu mithali 19:17
Tatizo ni hivi vichoko anavyoviendekeza. Sijui yupo wapi nimpige za uso, alikuja na jina gani sijui nikawa sijamgundua😂😂😂 Shangazi yake katudhalilisha sana wanawake, unamiliki vipi pori kubwa km lile?!!
Mzee mi napiga boxing, ntakusambaza kwenu watasema umepata ajali....Tatizo ni hivi vichoko anavyoviendekeza. Sijui yupo wapi nimpige za uso, alikuja na jina gani sijui nikawa sijamgundua
Mwambie antiyo aje namsubiri nna shida naye, nina zana zote za kumuondolea maguguDC MImi hapa nipo peke yangu...
Huyo shangazi ni nani?
Hata sikuelewi, mi sinaga urafiki humu na mtu....
Niekuonya toka jana husikii, baadae ni dozi nyingine inateremka Mheshimiwa ,
Mpendwa upo?Ko hamtaki hata kulima ni mwendo wa moto😁😁
Kalipewa ila kalishindwa, mbona aunt cha wote hajui kukataa. 😂😂😂Haka kachoko kangekua fresh kangepewa
Wewe nitakutapeli, huwa nina mbinu nyingi za utapeli, nikimaliza kukutapeli nakupitia. Maana Kuna jamaa ulikuaga unamuelewa humu ndio alikuumbuaAcha kupanick DC...
Siku njema, kumbuka nakuja tena na dawa...
Napiga panapouma..
Boxing kwa ulivyolegea, alafu umesahau wenzio walikusifia mweupe laini?Mzee mi napiga boxing, ntakusambaza kwenu watasema umepata ajali....
We nchuulie poa...
Relax Mheshimia Nikki wa 3...Boxing kwa ulivyolegea, alafu umesahau wenzio walikusifia mweupe laini?
Unaweza kunitafuta? Ushanielewa? Maan yule jamaa nae ulimuingia hivi hivi mwisho akakukazia akaja kutangazaHuwezi nijua f@la kama wewe, mi ni master...
Naweza kukutafuta popote ulipo nikitaka...
Mwambie huyo mmeo hao ni watu wa mazingira bwana na bibi afya wanataka niwape shangazi wachome MAGUGU yanayozunguka nyumba yake.!!View attachment 3025223
DC njoo na ID moja ueleweke, mnanijazia notifications huku... hadi manzi yangu ananiuliza unatumiwa messages na nani... mzee punguza kuni quote na zako mbili...
Unaongea kujitetea lakini hakuna anayekuelewa humu, watu wote hapa wana ku enjoy...Wewe nitakutapeli, huwa nina mbinu nyingi za utapeli, nikimaliza kukutapeli nakupitia. Maana Kuna jamaa ulikuaga unamuelewa humu ndio alikuumbua
Hizo mboga hazichoshi NkamuMwee ofwa Nkamu
Utatukuta
Mimi mwenyewe nazipwnsa sana hata kila siku naweza kula
Mungu fundi sana kutuletea nguniani😂
Heheheheeeeee....Mwambie huyo mmeo hao ni watu wa mazingira bwana na bibi afya wanataka niwape shangazi wachome MAGUGU yanayozunguka nyumba yake.!!
Mimi nijitetee humu? Ww ndo maana nasema ulikua hujanijua, na mm nilikua Sina time na ww. Ila ungenijua usingepata hii tabuUnaongea kujitetea lakini hakuna anayekuelewa humu, watu wote hapa wana ku enjoy...
Wewe leo mgomo vipi? Hivi ulimuelewa chalamila kweli?? Halafu nilikuona unazomea 😂😂😂Ngumu kumeza