Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,847
Na kweli tunashusha brand kumjibu mjinga ๐Huyu ni wa kumpuuza,yani hata kum-quote tu ni kushusha brandiii ๐
Dawa yake ni unamuacha tu anajitekenya weeee akiishiwa bando anaenda kutuliza matacco
Ila walau kapata air time kubishana na mimi, kakuza id. Ss hivi anajulikana IT wa mchongo.