Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alivyo mjinga kashindwa kuangalia hata zile tone zetu za uandishi, sikumbuki wewe kuniita love, ila leo nimeshangaa na kucheka nilivyoona ile neno.!! Huyu ndiomana namwambia BOGUS
Huyu uchoko umeathiri hadi ubongo, na hiyo katengeneza siku nzima
 
Huyu ni wa kumpuuza,yani hata kum-quote tu ni kushusha brandiii 😃

Dawa yake ni unamuacha tu anajitekenya weeee akiishiwa bando anaenda kutuliza matacco
Na kweli tunashusha brand kumjibu mjinga 😂

Ila walau kapata air time kubishana na mimi, kakuza id. Ss hivi anajulikana IT wa mchongo.
 
Id zenyewe fake halafu ategemee watu wawe real.!!? Kaambiwa tunatafuta kazi humu??
Ni wa kumpuuza. Kushadadia picha fake picha fake inamuongezea nini maishani mwake? Sikujua kuna watu wanaweza kuwa serious kiasi hiki kuteseka na mambo ya mtandaoni.
 
Ni wa kumpuuza. Kushadadia picha fake picha fake inamuongezea nini maishani mwake? Sikujua kuna watu wanaweza kuwa serious kiasi hiki kuteseka na mambo ya mtandaoni.
Ni maajabu kwa kweli, halafu anajiita mwanaume. Tukimbwambia shoga anakasirika, mwanaume timamu hawezi kufanya ujinga km huo. Wenzie wako busy wanacheck EURO yy yuko busy kutengeneza vitu vya uongo.
 
Tumoghele MBEYA
🙌🙌🙌🙌
Hii baridi ni hatari


Haya sasa
Ngoja nisome uzi😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240624_220042_049.jpg
    IMG_20240624_220042_049.jpg
    2.6 MB · Views: 10
🤣🤣🤣🤣🙌🙌 Hatareee.!
Wapumbavu hawa, naona wanachezea sharubu. Mods wamekuja wameweka sawa nikapotezea, kumbe wameenda kuunga picha alafu walivyo wajinga wakasahau selfika ilifungwa hiyo tarehe

Haka kachoko kalikua kanasema kanavizia demu humu sijui ili iweje, lakini si aanze na huyu shangazi yake mwenye kichaka
 
Tumoghele MBEYA
🙌🙌🙌🙌
Hii baridi ni hatari


Haya sasa
Ngoja nisome uzi😂😂😂
Nkamu huko ss hivi maji wanakutana nayo kwenye supu na chai 😂😂😂

Km dar nasikia baridi huko si ndio balaa unakumbatia jiko.

Nguniani zangu hazijafika nimeandaa kipome kwa mbwembwe zote 🤣
 
Back
Top Bottom