Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anajichosha huyo analeta picha hata sizielewi alikozitoa, yeye kunijua mimi atasubiri sana.!!
Ulimwengu wa fake ids anaforce kufahamiana na watu. 😂😂😂😂
Tunawaacha mnyooshane mpaka msemeee😁😁😁
 
Mtacheka sana, source za picha ukiziona, mnaweza kububujikwa na machozi...
Watu tofauti tofauti... inashangaza sana..
Ww ubwabwa jifunze kutengeneza comment, alafu unatumia muda mrefu sana masaa yote ndio ulikua unahangaika na Hilo?
 
Jamani kariri skin tone hio, kariri kila kitu kuna maangamizi yanakuja...
Usilete ugomvi na mtu humfahamu, am IT by professionl...
naweza fanya tukio humu hadi TCRA waingilie kati...
Wewe kweli soko gumu yani unahangaika na mtu humjui!! Utapewa ban kwa kuleta picha za watu humu usiowajua. Wewe ukitaka kuniona sema uje unione. Hii unajionyesha jinsi gani ulivyo mjinga, hii ni jf sio nyumbani kwako
 
😂😂😂 Jamani angetokea wakumuweka na shostio Coca full pic jukwaa lingesimama leo. Watu wote macho kodo kumjua Lamomy
Anawachota, hakuna namna ningeandika hiko alichoandika. Alitakiwa kuiga na uandishi wangu

Huyu dogo zaman humu alikua na wenzie walikuja speed na issue zao za uchoko, wenzie wakashtukiwa wakasepa mazima. Yeye aliyebaki akabadili jina, akapotea
Sasa hivi naona karudi speed tena
 
JF is all about being fake!!
Sijajua picha anazodai ni fake zina madhara gani kwenye maisha yake ya kila siku 🤣 ila JF!!

Sasa huyu anayeteseka na picha kazi anayo...IT jobless

Shida inaanzia kwa wanaomjaza aweke vitu na yeye huko alipo anajiona 'star' of the match! SMH
Watu wanamuenjoy kwa ujinga wake bila yeye kujua
 
JF is all about being fake!!
Sijajua picha anazodai ni fake zina madhara gani kwenye maisha yake ya kila siku 🤣 ila JF!!

Sasa huyu anayeteseka na picha kazi anayo...IT jobless

Shida inaanzia kwa wanaomjaza aweke vitu na yeye huko alipo anajiona 'star' of the match! SMH
Watu wanamuenjoy kwa ujinga wake bila yeye kujua
Yani wewe kweli GT
Kuanzia leo nimekupa salute, una IQ kubwa.!
Wanawake wengi wangejitambua km wewe hii jf ingekuwa 🔥🔥🔥

Hana kazi week nzima yupo humu anateseka kunijua. Halafu anaokoteza picha anatengeneza wenzie wanamcheka.
 
Kwani mtu akiweka picha fake shida iko wapi? Kuna watu wanapenda heka heka.
 
Yani wewe kweli GT
Kuanzia leo nimekupa salute, una IQ kubwa.!
Wanawake wengi wangejitambua km wewe hii jf ingekuwa 🔥🔥🔥

Hana kazi week nzima yupo humu anateseka kunijua. Halafu anaokoteza picha anatengeneza wenzie wanamcheka.
Kaenda kutengeneza comment inasoma November, wakati November selfika ilikua imefungwa
 
Wewe and 100 others hiyo comment umetengeneza Kantry hana uandishi huo na hajawahi kuniita love.!! Ukitaka kutengeneza huo upuuzi jitahidi uendane na uandishi wake.!!
 
Kaenda kutengeneza comment inasoma November, wakati November selfika ilikua imefungwa
Alivyo mjinga kashindwa kuangalia hata zile tone zetu za uandishi, sikumbuki wewe kuniita love, ila leo nimeshangaa na kucheka nilivyoona ile neno.!! Huyu ndiomana namwambia BOGUS
 
Yani wewe kweli GT
Kuanzia leo nimekupa salute, una IQ kubwa.!
Wanawake wengi wangejitambua km wewe hii jf ingekuwa 🔥🔥🔥

Hana kazi week nzima yupo humu anateseka kunijua. Halafu anaokoteza picha anatengeneza wenzie wanamcheka.

Huyu ni wa kumpuuza,yani hata kum-quote tu ni kushusha brandiii 😃

Dawa yake ni unamuacha tu anajitekenya weeee akiishiwa bando anaenda kutuliza matacco
 
Alivyo mjinga kashindwa kuangalia hata zile tone zetu za uandishi, sikumbuki wewe kuniita love, ila leo nimeshangaa na kucheka nilivyoona ile neno.!! Huyu ndiomana namwambia BOGUS
Huyu uchoko umeathiri hadi ubongo, na hiyo katengeneza siku nzima
 
Back
Top Bottom