Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tumoghele MBEYA
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Hii baridi ni hatari


Haya sasa
Ngoja nisome uziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naomba unisamehe dada yanguπŸ™ŒπŸ™

Nilikua nimetulia Ila jana kuna kachoko kakishirikana na shangazi yake wakaanza kunitukana bila sababu. So naomba uniwie radhi maana walivuka mipaka
 
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aiseeee
My country pipoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£

Haya
Za Toka juzi jamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mje tutembee mjini
 

Attachments

  • IMG_20240624_172258_769.jpg
    IMG_20240624_172258_769.jpg
    2.8 MB · Views: 7
Naomba unisamehe dada yanguπŸ™ŒπŸ™

Nilikua nimetulia Ila jana kuna kachoko kakishirikana na shangazi yake wakaanza kunitukana bila sababu. So naomba uniwie radhi maana walivuka mipaka
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kwanza leo umeandika Nini kaka yangu?
Ngoja kwanza nisome πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aiseeee
My country pipoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£

Haya
Za Toka juzi jamaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mje tutembee mjini

Hii picha ni fake Saint Anne

Sasa hivi ni usiku kwanini picha yako hakuna giza?
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kwanza leo umeandika Nini kaka yangu?
Ngoja kwanza nisome πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikikuona napata baridi nakua mnyonge, unisameheπŸ™ŒπŸ™
Walianza jana from nowhere tu wakanishambulia, wao walikua na tatizo na lamomy, Ila jana nashangaa na mm wameniweka tena kwa kunishambulia sana. Leo naingia nakutana na hizo mambo zao
 
Wapumbavu hawa, naona wanachezea sharubu. Mods wamekuja wameweka sawa nikapotezea, kumbe wameenda kuunga picha alafu walivyo wajinga wakasahau selfika ilifungwa hiyo tarehe

Haka kachoko kalikua kanasema kanavizia demu humu sijui ili iweje, lakini si aanze na huyu shangazi yake mwenye kichaka
Wizzy niache sijapanga kucheka leo 🀣🀣🀣
Shangazi mimi nilishamwambia kitambo hiko aache kutumia watu au id zingine itamuharibia hakunisikia.!! Halafu hii michezo yake ishapitwa na wakati.! Kawapa pesa penseli atukane watu humu mpk kasababisha id yangu iingie majanga.!!

Katungia watu story mpk wengine wanashangaa imekuwaje.?!!
Halafu ana play saint km sio yeye.!! Watu tumemshtukia tumekaa pembeni hataki kukubali.! Ameokoteza machizi wengine wenye zero IQ wamekuja na vitu vya kubumba.

Halafu mimi sio adui yake, adui yake ni tabia zake.! Aliwasumbua wenzie na ndio waliomsulubu, mimi sikuwa na mpango naye hata kidogo.
 
Nkamu huko ss hivi maji wanakutana nayo kwenye supu na chai πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Km dar nasikia baridi huko si ndio balaa unakumbatia jiko.

Nguniani zangu hazijafika nimeandaa kipome kwa mbwembwe zote 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nakuletea na kipome nkamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huku Mbeya kila mtu ana jiko lake sasahivi nyumbani
Mkoleza moto ni mimi,ukifika tu nakukabidhi jiko lakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nikikuona napata baridi nakua mnyonge, unisameheπŸ™ŒπŸ™
Walianza jana from nowhere tu wakanishambulia, wao walikua na tatizo na lamomy, Ila jana nashangaa na mm wameniweka tena kwa kunishambulia sana. Leo naingia nakutana na hizo mambo zao
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pole sana

Nani huyo anakuchokoza shemeji yangu?
 
DahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pole sana

Nani huyo anakuchokoza shemeji yangu?
Kuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichaka

Nilisema huku siingii tena na nilifata ushauri wako, ila leo naingia nakuta wananishambulia kinoma
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nakuletea na kipome nkamuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huku Mbeya kila mtu ana jiko lake sasahivi nyumbani
Mkoleza moto ni mimi,ukifika tu nakukabidhi jiko lakoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umekitwanga vizuri?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo na jiko sitting room umenikumbusha Tukuyu, na kikombe chako cha mtindi pembeni unakigusa km hutaki, huku unaivisha hindi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Basi hapo ni kuteta familia ya mzee Mwakalasya na mtoto wao Lusajo kampa mimba binti wa mzee Mwakipesile anayeitwa Atu 🀣🀣🀣
 
Kuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichaka

Nilisema huku siingii tena na nilifata ushauri wako, ila leo naingia nakuta wananishambulia kinoma
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna kachoko flani hivi sijui kama unakakumbuka kalibadili I'd sasa hivi anajiita 100others, anashirikiana na shangazi yake mwenye kichaka

Nilisema huku siingii tena na nilifata ushauri wako, ila leo naingia nakuta wananishambulia kinoma
Achana nao
Twende tu siasani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Umekitwanga vizuri?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hapo na jiko sitting room umenikumbusha Tukuyu, na kikombe chako cha mtindi pembeni unakigusa km hutaki, huku unaivisha hindi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Basi hapo ni kuteta familia ya mzee Mwakalasya na mtoto wao Lusajo kampa mimba binti wa mzee Mwakipesile anayeitwa Atu 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mtindi-Ulukama

Mwakalasya ,hili jina imenikumbusha mbaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nkamu,kipome tumekichekecha kabisaπŸ˜‚
 
Huyo mke wa DC wa mchongo alikua anatupi kwenye uzi unaitwa

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie​


Ulianzishwa na mshana jr baada ya selfika kufungwa, mimi naendelea na dozi sisikilizi kelele...

AMbaye anasema ni fake aje hapa...
 
Back
Top Bottom