Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,940
😂😂😂 Uniletee kipome na nguniani, nimix na maharage.!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtindi-Ulukama
Mwakalasya ,hili jina imenikumbusha mbali😂😂😂😂😂😂
Nkamu,kipome tumekichekecha kabisa😂
Umeona hii ya maharage mateta
😂😂😂 Uniletee kipome na nguniani, nimix na maharage.!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtindi-Ulukama
Mwakalasya ,hili jina imenikumbusha mbali😂😂😂😂😂😂
Nkamu,kipome tumekichekecha kabisa😂
Umechange gear baada ya kukusanua? Ww uchoko umemaliza akili yako, alafu pia sasa hivi nakupasua ww na shangazi yako kumbe ndio mnajazana upepoHuyu jamaa alipost kwenye uzi unaitwa
Umevaa nini leo? Tupia uturingishie
😂😂😂 Uniletee kipome na nguniani, nimix na maharage.!
Umeona hii ya maharage mateta
Aisee nimekuta umeni mention sana, nilikua nakunywa pombe nimerudi unasemaje? niendelee?Umechange gear baada ya kukusanua? Ww uchoko umemaliza akili yako, alafu pia sasa hivi nakupasua ww na shangazi yako kumbe ndio mnajazana upepo
Nkamu nitumie kwenye bus na mafufu 😋😋Hizi mboga ndio zimenikuza
Mama alizipenda sana
Mimi nilikuwa sizipendi😂😂😂💔💔
Yaani Nkamu sijui nikutumie tu kwenye bus😂
Maharage mateta ndio tunamalizia kuvuna
Ko hamtaki hata kulima ni mwendo wa moto😁😁Pori la mabwe pande wii 😂😂😂
🏋🏻🏋🏻Hii vita 😁😁Na ndiye aliyemsambazia kichaka chake. Hivi kile kichaka kinakosa wadudu hatari?!! 🤣🤣🤣
Kimekomaa ni kupiga kiberiti 😂Ko hamtaki hata kulima ni mwendo wa moto😁😁
Wiki ijayo naenda Kyela nikabebe ndiziNkamu nitumie kwenye bus na mafufu 😋😋
Yani hizo mboga nazipenda, mwenzio naishi km niko Mbeya
Mbonge wa ndude Ila umejaa minyasi😂😂😂 hapo kwanza ncheke.!!
Tatizo wote ma-zero brain yanawaza kudangaHiko kichoko ni kichafu, kimeenda kumshauri na shangazi, wote wachafu
😂😂😂😂🏋🏻🏋🏻Hii vita 😁😁
Nkamu nna trip ya uko weekend hii mbona ntafungasha aisee!! Hakuna kitu nitaacha.Wiki ijayo naenda Kyela nikabebe ndizi
Kuna ndizi hadi zinaoza
Mi nguniani napenda nile za nyanya
Maharage mateta nile na wali au ugali wa muhogo
🤣🤣🤣🤣 Wizzy mbavu zinaniuma mwenzio.!Mbonge wa ndude Ila umejaa minyasi
Alafu haka kachoko kanafurahia tu kuona
DC MImi hapa nipo peke yangu...Hiko kichoko ni kichafu, kimeenda kumshauri na shangazi, wote wachafu