Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo uko pm unabebishwa uduguu.!! Hongera zako, mwambie shem namsalimia.!!

Ila naona na wewe kamoyo kamemzimia bana.!!
Akikaza unawamiliki wote wawili, dalili nishaziona
tsup uduguuu, Yaan ya huku yote yeye anakuja kunichatisha tsup. Asione namzungumzia ba tamuu anaumiaa hatariii.

sema namkubalii, afu kwenye angle zotee, nna ukumbusho wakee handsome boe!!

Dear Ex, ba tamuu mkalii, naogopaa atatustukiaa wee huoni ataniumizaa mie?
 
Nimemic sex akee, hata yeye namuambiagaa!!
Sema mkaka kwenye malovee yuko , mmeru wa watu.
Mchugastan,

Nyie huyu ninge last nae, tatzo hakuniaminii wallah!!
Kumbe na nonino ulimpa?? Ehh we uduguu.!!
Huyo ex wako bana, ni suala la muda tyuu mnaenda kupasha kiporo 🤣🤣🤣🤣

Umeona ulivyo huna msimamo?? Si nilikwambia siku ile?? 😂😂😂
Nyie mnapendana sema midomo ya watu imewavuruga.! Acheni kusikiliza watu.
 
Nichek wasap bc love ili nikuimbie love, c unajua vile ulivyo pisi kali hvy utanipa hamasa ya kuimba vzr Love
😂😂😂😂 Hii kali, hivi kwann hamnipi likizo.!
Yani jf mpk nife ndio mtatulia kuniandama, km mnapangana vile, akitoka huyu amchokoze huyu.!! Khaaaa.!! 🙌🙌
 
😂😂😂😂 Hii kali, hivi kwann hamnipi likizo.!
Yani jf mpk nife ndio mtatulia kuniandama, km mnapangana vile, akitoka huyu amchokoze huyu.!! Khaaaa.!! 🙌🙌
Love mm c tayar umeshanizoea sipo kama hao wngn
 
tsup uduguuu, Yaan ya huku yote yeye anakuja kunichatisha tsup. Asione namzungumzia ba tamuu anaumiaa hatariii.

sema namkubalii, afu kwenye angle zotee, nna ukumbusho wakee handsome boe!!

Dear Ex, ba tamuu mkalii, naogopaa atatustukiaa wee huoni ataniumizaa mie?
Jamani ila shem anakupenda sana.!! Ana wivu mwenzio anakupenda bana.
Na hiyo kutuma picha ya shem mwingine ni kumtafutia kisukari kipande 🤣🤣🤣🤣

Na hapo kakukumbushia basi ushapagawa!! Sijui km utalala nyumbani leo 🤣
 
Kumbe na nonino ulimpa?? Ehh we uduguu.!!
Huyo ex wako bana, ni suala la muda tyuu mnaenda kupasha kiporo

Umeona ulivyo huna msimamo?? Si nilikwambia siku ile??
Nyie mnapendana sema midomo ya watu imewavuruga.! Acheni kusikiliza watu.
wee sio boss uduguuu, ni kijana tyuuh.
Ila mie humu nimeyatidunganya sanaaa, tatizo mkaka yuko cool mnoo.

Wee handsome njoo huku toa likes bas,
 
Jamani ila shem anakupenda sana.!! Ana wivu mwenzio anakupenda bana.
Na hiyo kutuma picha ya shem mwingine ni kumtafutia kisukari kipande

Na hapo kakukumbushia basi ushapagawa!! Sijui km utalala nyumbani leo
atalala kwakee.
 
wee sio boss uduguuu, ni kijana tyuuh.
Ila mie humu nimeyatidunganya sanaaa, tatizo mkaka yuko cool mnoo.

Wee handsome njoo huku toa likes bas,
😂😂😂 uduguu usinambie uliwapanga humu?? Ila umepata mashem wapole, halafu inaonekana wastaarabu km boss wa kampuni.
Ila wewe sasa ndio balaa 🤣🤣🤣
 
Hapa hapana aisee, pics zangu n mali yako love na sio mali ya hawa vigagula wa selfika
Vinini??? 🤣🤣🤣🤣
Ila Mbaga una vituko sana.!! Ushakuwa mwenyeji wa selfika, utaacha kuchangia zile nyuzi zako za majukwaa mengine.
 
Back
Top Bottom