Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] couple ilivurugaa watu ilee hatariii!! Majamaa yanamfata PM awape details zangu!!! Sio wadada wala wazee kuhaha kujua ni kweli tunadate? Woiiiiiih

Boss mwenyewe ananikubalii kinoumaaaa!!!
Na kukunanga uduguu wangu, hawajui mapenzi ya kweli yapo.!!
Achana nao km wako ni wako. Uzuri shem anakupenda na anakuelewa toto la kingoni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu mie nabebishana na boss hapa majukwaani, handsome boe anapiga kimya kimyaa!! Mie ntakuja kufa mwili unatetema km jenerata bovu LA kingimax. Khaaaah.

Ex zanguu mrudii selfikaa, mamsapuu wenuu nawahitajii hapaa.
🤣🤣🤣🤣 Ujue we mwehu uduguu.!!
Shem akipita hapa atakumind. Ila huyo handsome naye kakuteka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ujue we mwehu uduguu.!!
Shem akipita hapa atakumind. Ila huyo handsome naye kakuteka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiii tupuuu!!! Noumaaa sanaaa!!
 
Jamani kariri skin tone hio, kariri kila kitu kuna maangamizi yanakuja...
Usilete ugomvi na mtu humfahamu, am IT by professionl...
naweza fanya tukio humu hadi TCRA waingilie kati...
Mkuu tupo pamoja, leo haikuwa siku yangu ya kuingia humu ila hakuna namna. Shusha vitu mkuu au subiri kwanza nikatulie bar nishushie na bia
 
Back
Top Bottom