Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,849
Nnazo nyingi hizo na napenda kuvalia raba. Uduguu nikitulia nakutumia we unipe size.uduguu!! Trauzaa nimeielewaa!! Afu imekukaa.
Mie kwenye casual hunitoiii hapooo!!!
Nnazo nyingi hizo na napenda kuvalia raba. Uduguu nikitulia nakutumia we unipe size.uduguu!! Trauzaa nimeielewaa!! Afu imekukaa.
Mie kwenye casual hunitoiii hapooo!!!
"Em tulia bhana ntakuzibua ujue wee niletee ujinga ujinga wako"



ba tamu ana hasira kisa mtoto wa 4m 6.Usijar uduguuu akee!!! Kwenye casual tuko hapooo!!!Nnazo nyingi hizo na napenda kuvalia raba. Uduguu nikitulia nakutumia we unipe size.





Weeh!! Ba tamu ana hoja shem wangu, kinda wa form sita hawezi kujifanya kidume kwa manzi wake mkareee km wewe.!!"Em tulia bhana ntakuzibua ujue wee niletee ujinga ujinga wako"ba tamu ana hasira kisa mtoto wa 4m 6.
Ananiacha hoiiii!!!
Wiii hii week wanakuchoza sana 😁😁😘😘 wii wangu mnjuri njuri
Love em ntumie pics mbili tatu PM bhana zinipunguzie joto 😍😂😂😂😂 Wanateseka sana
Ila sio vzrNnazo nyingi hizo na napenda kuvalia raba. Uduguu nikitulia nakutumia we unipe size.
Uduguuu utapigwa uharibike sura, wanaume hawapendi kuchapiwa na madogo shauri zako.!!
Kwanza hayo mazoea mlianzaje na huyo dogo?? Na unajijua mchumba wa mtu?? Kiranga kitakuponza. Mimi niko upande wa shem wangu, ww mkorofi.!!




ntakuja nibatuliwe nipate majeraha, nishindwe kusema yametokeajee!! 





😂😂😂 Tayana wangu usijali ntakushtua nikituma tena.!!Ila sio vzr
Ukaona ukimitag nitanenepa
Kwanza nimefulia tajiri naomba nilale ht kitimoto 🤣
Tayana wangu usijali ntakushtua nikituma tena.!!
Wewe ulivyo tajiri unaogelea kwenye mihela, mimi utajiri niutoe wapi?? Hapa km ww unataka kunibless fanya hivyo.





Wewe hujiheshimu, mimi bado niko upande wa shem.!! Tena ilitakiwa akuzabue mabanzi ya kichwa ubongo ukae vzr.!ntakuja nibatuliwe nipate majeraha, nishindwe kusema yametokeajee!!
Huyu dogo alikua anakujaga hapa home tuit jirani yangu ni mwl wa sec, sasa siku hiyo kaja hapa jiran hayupo, nkamuambia msubiri nkamkaribisha sebuleni, tena kulikua na match ilikua simba sijui na nan vilee, kumbe naye shabiki wa lunyasi, bas ndo tukaangaalia had game ikaisha, akasepaaa.
Sasa tangu hapo amegeuza kwangu ndo banda umiza yake, ilifika hatua anakuja na wenzie, nkamkataza sitaki watu ndani kwangu, anakuja yeye tyuu, hata hivyoo kuna vijineno mtaani vilisikika nkaona hizi dharau, nkamfukuza kisiasa daaah hata haelewii, unashangaa mtu mlangoni "sorry nimekuja kutazama mpira au movie" kumfukuza unashindwaa ndo namuacha
Hii juzi mara ya pili ba tamu anamkuta huyu, ndo maana kaanza kutilia shaka![]()
🤣🤣Kapuku mie Countrywide huwezi amini hata pole sijapewa na huyu Lamomy😂😂😂 Tayana wangu usijali ntakushtua nikituma tena.!!
Wewe ulivyo tajiri unaogelea kwenye mihela, mimi utajiri niutoe wapi?? Hapa km ww unataka kunibless fanya hivyo.
Sawa love 😍🤣🤣🤣🤣 Wewe nawe unanichosha ujue.!! Picha ww za kazi gani?? Nakupigia video call, ila usifanye km wahindi wa fb 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe nawe unanichosha ujue.!! Picha ww za kazi gani?? Nakupigia video call, ila usifanye km wahindi wa fb 😂😂😂
Dah.! Tayana tutayaongea hayo nilitaka kwanza ukae vizuri. Nilitaka kuna kitu nikufanyie bana.! Usijali tuko pamoja🤣🤣Kapuku mie Countrywide huwezi amini hata pole sijapewa na huyu Lamomy
Wewe hujiheshimu, mimi bado niko upande wa shem.!! Tena ilitakiwa akuzabue mabanzi ya kichwa ubongo ukae vzr.!
Unakaribishaje watu ndani kwako ambao mashababi? Ukibakwa??
Kwanza movie gani hizo mnatazama watu wawili peke yenu ndani mmejifungia??
Shemeji akupige nasimama na yeye![]()




hivi kwann ba tamu amewazaa upuuzi tyuuh, kwamba mie sina msimamoo? Ukute huyu dogo ananielewa anashindwa kufungukaaaa!!!








Unajitahidi nikujibu ila kwanza kanyoe kichaka cha Amazontajiriii huyo.
China kama choon unavyoenda😁😂😂
Mbweni una boonge ya mjengo Hilton Hotel cha mtoto.😁
Unashinda jf 24 seven ila hela zinaingia tu,zinatiririla tu,miamala ya remitly inaingia hadi inakutia stress.
Tajiri huna baya.
Tajiri we pisi kali beyonce anakuonea wivu,uwoya kwako kama housegirl tu.