Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

"Em tulia bhana ntakuzibua ujue wee niletee ujinga ujinga wako" ba tamu ana hasira kisa mtoto wa 4m 6.
Ananiacha hoiiii!!!
Weeh!! Ba tamu ana hoja shem wangu, kinda wa form sita hawezi kujifanya kidume kwa manzi wake mkareee km wewe.!!

Niko na shem akutwangwe tyuu!! Hujiheshimu 😂😂😂😂
 
Uduguuu utapigwa uharibike sura, wanaume hawapendi kuchapiwa na madogo shauri zako.!!

Kwanza hayo mazoea mlianzaje na huyo dogo?? Na unajijua mchumba wa mtu?? Kiranga kitakuponza. Mimi niko upande wa shem wangu, ww mkorofi.!!
ntakuja nibatuliwe nipate majeraha, nishindwe kusema yametokeajee!!

Huyu dogo alikua anakujaga hapa home tuit jirani yangu ni mwl wa sec, sasa siku hiyo kaja hapa jiran hayupo, nkamuambia msubiri nkamkaribisha sebuleni, tena kulikua na match ilikua simba sijui na nan vilee, kumbe naye shabiki wa lunyasi, bas ndo tukaangaalia had game ikaisha, akasepaaa.

Sasa tangu hapo amegeuza kwangu ndo banda umiza yake, ilifika hatua anakuja na wenzie, nkamkataza sitaki watu ndani kwangu, anakuja yeye tyuu, hata hivyoo kuna vijineno mtaani vilisikika nkaona hizi dharau, nkamfukuza kisiasa daaah hata haelewii, unashangaa mtu mlangoni "sorry nimekuja kutazama mpira au movie" kumfukuza unashindwaa ndo namuacha

Hii juzi mara ya pili ba tamu anamkuta huyu, ndo maana kaanza kutilia shaka
 
ntakuja nibatuliwe nipate majeraha, nishindwe kusema yametokeajee!!

Huyu dogo alikua anakujaga hapa home tuit jirani yangu ni mwl wa sec, sasa siku hiyo kaja hapa jiran hayupo, nkamuambia msubiri nkamkaribisha sebuleni, tena kulikua na match ilikua simba sijui na nan vilee, kumbe naye shabiki wa lunyasi, bas ndo tukaangaalia had game ikaisha, akasepaaa.

Sasa tangu hapo amegeuza kwangu ndo banda umiza yake, ilifika hatua anakuja na wenzie, nkamkataza sitaki watu ndani kwangu, anakuja yeye tyuu, hata hivyoo kuna vijineno mtaani vilisikika nkaona hizi dharau, nkamfukuza kisiasa daaah hata haelewii, unashangaa mtu mlangoni "sorry nimekuja kutazama mpira au movie" kumfukuza unashindwaa ndo namuacha

Hii juzi mara ya pili ba tamu anamkuta huyu, ndo maana kaanza kutilia shaka
Wewe hujiheshimu, mimi bado niko upande wa shem.!! Tena ilitakiwa akuzabue mabanzi ya kichwa ubongo ukae vzr.!
Unakaribishaje watu ndani kwako ambao mashababi? Ukibakwa??
Kwanza movie gani hizo mnatazama watu wawili peke yenu ndani mmejifungia?? 😂😂😂

Shemeji akupige nasimama na yeye 🤣🤣🤣
 
Wewe hujiheshimu, mimi bado niko upande wa shem.!! Tena ilitakiwa akuzabue mabanzi ya kichwa ubongo ukae vzr.!
Unakaribishaje watu ndani kwako ambao mashababi? Ukibakwa??
Kwanza movie gani hizo mnatazama watu wawili peke yenu ndani mmejifungia??

Shemeji akupige nasimama na yeye
hivi kwann ba tamu amewazaa upuuzi tyuuh, kwamba mie sina msimamoo? Ukute huyu dogo ananielewa anashindwa kufungukaaaa!!!

Na asifungukee, akifungukaa dharauuu hiziii ntamfurusha mbonaaa.

Ba tamu kisukarii kingii, asisikie habari zangu kwa classmate, lazima ahojii, yaan hajiaminiii kabisaa.

 
tajiriii huyo.
China kama choon unavyoenda😁😂😂
Mbweni una boonge ya mjengo Hilton Hotel cha mtoto.😁
Unashinda jf 24 seven ila hela zinaingia tu,zinatiririla tu,miamala ya remitly inaingia hadi inakutia stress.
Tajiri huna baya.
Tajiri we pisi kali beyonce anakuonea wivu,uwoya kwako kama housegirl tu.
Unajitahidi nikujibu ila kwanza kanyoe kichaka cha Amazon
 
Back
Top Bottom