Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,546
- 22,981
picha ya mwaka 47 ila code za 2024 hongera babu ulikua mbele ya mda sana .View attachment 3023790
Najua Kuna watu watabisha hapa kwamba hii picha sio ya Mwaka 47 🤗
Hello Sunday 🥂
picha ya mwaka 47 ila code za 2024 hongera babu ulikua mbele ya mda sana .View attachment 3023790
Najua Kuna watu watabisha hapa kwamba hii picha sio ya Mwaka 47 🤗
Hello Sunday 🥂
Sio mkumbo sema si unakua unalia timing wakenya unawauzia yakiwa shamba bado mabichi, dadeq yule msomali wa tabora akakataza wakenya kuingia shambaniHahahaha 😂,, kufata mkumbo sometimes bwan,,m nyumbani apa hata bustani sina vile sipendi ukulima
Sina muda nao tena, sa hivi nachoka sana 😓😓Inabidi tukate rufaa kule mwayaaa
sasa wewe saivi wooote wamelima parachichi wamekata miti,,soko limedorola kama sio mkumbo ni niniSio mkumbo sema si unakua unalia timing wakenya unawauzia yakiwa shamba bado mabichi, dadeq yule msomali wa tabora akakataza wakenya kuingia shambani
wewe upike ugali leo na mimi najua una ka party kadogo ka kusherekea karma?😅😅😅kwanza leo hata njaa hausikii.Huku Nyakibimbiri nilipo network hadi nipande huu ya kichuguu mamy sikusikii vizuri!
Ngoja nishuke nikapike yugali kwanza ntarudi kwenye kichuguu jioni.
Hahahaa utafikiri kweliAikoooo! nitumepo hapa au kwenye no ya 69😓😓 Odoo?
Huyu ni brother ? Pisi hii weweOya brother mambo vipi😁🤣
kwani uongo? naniliinino wako alinifata nikuweke sawa! nikaamua nimuongoze sala ya toba tuHahahaa utafikiri kweli
Kilichobaki ni kumuomba Mungu tu, umaskini loading.....sasa wewe saivi wooote wamelima parachichi wamekata miti,,soko limedorola kama sio mkumbo ni nini
kwake mimi ni bro usiniharibie weweHuyu ni brother ? Pisi hii wewe
Aiyeeeee nani huyokwani uongo? naniliinino wako alinifata nikuweke sawa! nikaamua nimuongoze sala ya toba tu
Najua vizuri sana sema namtania tuHuyu ni brother ? Pisi hii wewe
Niko poa kaka anguMambo dada yangu kitambo sana aisee sijakuona humu vp mwanza mnaendeleaje
Huna guts za kutaka nimtaje hapa live live 😓😓😓😓Aiyeeeee nani huyo
Jf hii hiiHuna guts za kutaka nimtaje hapa live live 😓😓😓😓
Ok wasalimie sana hapo mwanza Kuna ndugu yake Fake P ni muuza madagaaNiko poa kaka angu
Nimeadimika sana
Una RB UjueOk wasalimie sana hapo mwanza Kuna ndugu yake Fake P ni muuza madagaa
Kwa kweli tuokoke anatutaka mabaya na hukuUnaona umeanza? unataka na huku nile bloku 😁😁😁 nikisema am born again huamini? CEASEFIRE🤣🤣🤣🤣😁😁
na kupanda tena miti hadi ikae sawa kuanzia 5 years .........Kilichobaki ni kumuomba Mungu tu, umaskini loading.....