Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂Had mtu ajitundike ametanguliza mema gani huko Kwa Mungu Bora upambane na dhambi zako hapahapa 😂
alafu watu wasichojua kuwa wema akiba ukimstiri mwenzio nawe utastirika hata na watu wengine huko

Na karma haimuachi mtu ukitenda ubaya utalipwa hata km sio na uliemfanyia lazima ulipwe
kabisa wema ni akiba na karma is real. lolote baya utakalolifanya kwa mtu lazima likurudie tu, ni bora likukute umeshajiandaa.
 
Back
Top Bottom