Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wewe ukaamini?? Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Utasubiri sana kuona papa langu, vuta kiti ukae 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 umenifurahisha na yanavotia kinyaa then nisubir kuona mxiuuu
 
Somo zuri saana,

Hakika mliishi kwenye Zama njema, Sisi tupo na GenZ ya Tanzania, balaaa tupu. Bora Ile GenZ ya kenya
Kwa kweli Mkuu

Ndiyo maana Wazee tulianzisha ule msemo kwamba "Kitanda hakizai haramu" ili kuendana na uhalisia

Unaweza kusafiri kwenda operation nje ya Nchi ama Mkoa fulani miezi 3 hadi 12 na ukarudi ukamkuta Mkeo ana ujauzito ama ana mtoto kabisa, huyo mtoto utamlea na kumtunza as if hakuna kilichotokea 🤗

Nyie Vijana Siku hizi hadi mnaenda kupima watoto wenu DNA ndiyo mkubali kulea na kuwatunza hao watoto 😜🙌
 
Duh! mi najiulizaga hawa wanaosubir mti mpaka ukomae ndo wauze, mparachichi mpaka ukue na mazao mengine yanayochukua mda mrefu huwa wanaishije? Labda hicho kilimo kiwe ziada tu kwako
miti ndo hukaa mda mrefu,ila parachichi zile za kubadi ni mda mfupi tu kuanzia mwaka coz mingine huzaa ikiwa midogo balaa
 
Back
Top Bottom