Selfika na JF: Snap it. Show it

tena waniachee, Leo niko vibaya kabisaa.
Ntakuja kutibua watu, wanipige Ban, hivi hapa nimemcharua mtu na cm zake sipokeii. Woiiiiih
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umemcharua nani tena uduguu!!
Uduguu una mikwara khaaaa!!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Babu umeanza lini ugombanishi??
Mimi nimesema akichelewa
Uzuri Ujumbe tumeupata sawia kwamba ili tusiibiwe na huyo Mhaya Siku za usoni, tunatakiwa twende Bukoba tukajifunze Kilimo cha Umwagiliaji ๐Ÿ˜œ๐Ÿค—
 
Uzuri Ujumbe tumeupata sawia kwamba ili tusiibiwe na huyo Mhaya Siku za usoni, tunatakiwa twende Bukoba tukajifunze Kilimo cha Umwagiliaji ๐Ÿ˜œ๐Ÿค—
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ babu nimecheka sana
Kwani bk kuna kilimo cha umwagiliaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ