Mm na kufurahisha genge wapi na wapi, ww na wenzako watatu mlimwama wapi coca amawazidi? Na kwa nn huwa hampendani?
Sijui maisha magumu, sijui tafuta pesa, unajipa tabu tu mm siwezi kujisifia kwako nyie ambao coca anawaita "vidampa wenzake"
Kuhusu la manzi kuniacha sijui blah blah gan achana nalo, hii ndio convo yetu toka asubuhi whatsapp, so tulia tafuta mbinu uwe kama na nyota ya coca