Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha kufurahisha genge...

Manzi ako amekuacha cause una maisha magumu, bro usi force, tafuta pesa kwanza...
Mm na kufurahisha genge wapi na wapi, ww na wenzako watatu mlimwama wapi coca amawazidi? Na kwa nn huwa hampendani?

Sijui maisha magumu, sijui tafuta pesa, unajipa tabu tu mm siwezi kujisifia kwako nyie ambao coca anawaita "vidampa wenzake"
Kuhusu la manzi kuniacha sijui blah blah gan achana nalo, hii ndio convo yetu toka asubuhi whatsapp, so tulia tafuta mbinu uwe kama na nyota ya coca
 

Attachments

  • Screenshot_20240617-142732_1.jpg
    301 KB · Views: 4
Kazi unayo kumbe huwa unasave picha zinazotumwa za watu?!! Haya unazifanyia Kazi gani?? Kumbe ww kidampa km coca alivyosema?!! Pole sana kumbe picha zinakutesa kiasi hicho??
Pc yangu ipo automated, picha yeyote ikiwa hapa kama ina chanzo naona, huna uzuri wowote...
tenaunakuta we ni mwanaume
 
cocastic umesikia mambo hayo wee pika tu fufua tu Hao dagaa auntyanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pika tu hizo chapat kaukau hata hawajali
Umeona eeh Mjukuu, Wazee tunapenda yale mapishi mengine kuliko hayo mapishi yenu ya Chapati πŸ€—
 
 
Hayo ni maelezo ya coca, mpo wengi humu Ila nyie watatu ndio mlikua mnaona wivu
Si umuulize huyo coca yupo hapa... Bro una fail..
We na couple yako hapa ni kitukona picha zenu za kudainilodi... najua ina ku hit so hard lakini hamna namna πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Sasa kati yako na mimi nani anaonekana yupo chama kimoja na huyo coca, mwanaume una maneno kama manzi...
watu wanakuona chenga tu...

Stvpid kabisa... we ni mjinga...
Kwann mnanichokozaaa? Sitakii Ban sahivii.
Khaaaah
 
Hana chochote, mi si naona tu mara nyingi hapa mnatuma picha za ku download, As an IT professional zile picha nilikua naziona zote, halafu nakausha tu kwa sababu mi mstaarabu... hii najua inakupiga.. lakini ndio ukweli..
Unaona sasa umeanza kuchanganyikiwa
 
Aliyesema mpo kundi moja ni huyo mwenzako cocastic, wala sio mm
Hapo ndio uone maneno sio issue, ww huna maneno lakini cocastic kakutaja mpo pamoja toka zamani
Kwanini mnataka kuniingiza kwenye ugomvi kinguvu? Mie sitakii, km kugombana gombaneni kivyenu, sihitaji kabisa manjegekaa sahivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…