Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi sio husna bana, kwan kuna vitu tunamatch??
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
Mkuu,unaharibu sasa

Nipo live na huu uzi kwa ajili yao....kimya kimya

Kwanini na wewe usiwe pamoja nao kimya kimya hadi watoane roho mkuu aaaaaah!! 🀣
 
Mina li faidhina mzee wa hall v
Pilau ni kwa Aaliyyah
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Mkuu,unaharibu sasa

Nipo live na huu uzi kwa ajili yao....kimya kimya

Kwanini na wewe usiwe pamoja nao kimya kimya hadi watoane roho mkuu aaaaaah!! 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kutoana roho tena??
 
Unazingua big time, kama huyo manzi ulikuwa nae kuna haja gani ya kuonyesha tofauti zenu hapa, si unakausha tu mzee, wanaume hatuna hayo mambo, mambo ya kujibizana ni issues za wanawake...

Unaonekana kama chenga..
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kutoana roho tena??

Eeee mkutane tu mpigane yaishe...hapa jukwaani mnajichoresha tu

Nimewafuatilia siku ngapi hizi hadi nikatamani kuwa-PM muache mnachokifanya ila nikaogopa maana sijakuzoea wewe wala Countrywide

Hainihusu lakini nashauri tu hivyo hivyo...malizeni mambo yenu hata PM maana kwa mujibu wa Countrywide ni kwamba huko kwenye namba za simu umemlamba block πŸ˜†

Hapa jukwaani sio salama
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi mbona sina tatizo shem, kwani kuna sehemu nimetoka nje ya mstari??
No, nipo kwenye mode nyingine, am seriously very very seriously usiniite shem, we na jamaa wako mnazingua kinoma, you know? let's take it seriously..
 
Mnanionea bure kwa kweli.
 
No, nipo kwenye mode nyingine, am seriously very very seriously usiniite shem, we na jamaa wako mnazingua kinoma, you know? let's take it seriously..
Kumbe ushauri wote ulionipa ni ku-take advantage ya kuomba? Dogo nasikitika kukuambia huna akili
 
Jambo linalonihusu huwa nalijibu, hiyo kukausha kwangu haipo ni utaratibu tu ambao nimeuweka
Wanaume hatuna hayo mambo? Sawa, lakini kwanza mm naamini vipi kama ww ni mwanaume?

Naonekana chenga kwa nani? Kwako au kwa nani?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…