cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Ukishapata uje nikupe zawadiyees natafta flat tummy
Haina shida uduguu, em wekaa bhanaaaa. Onesha upendo kwa msanii wakoNaweka na mimi km vin
Kwani kuna shida kuweka avatar ya msanii ninayemkubali mi km big fans wake





Mambo ya misamba samasolt ndo nyumbani kwake aiseee unayemkalia anafaidi😂😂😂😂😂 Hafu nna mkanda wa karate
😂😂😂 Soon ngoja niangalie nzuri nzuriHaina shida uduguu, em wekaa bhanaaaa. Onesha upendo kwa msanii wako
![]()
Mpk judo 😂😂😂Mambo ya misamba samasolt ndo nyumbani kwake aiseee unayemkalia anafaidi
Ilitakiwa uwe na p2 pembeni kabla ya game.
Mwenzio shem wako alikuwa anafosi nimzalie siku hiyo nikashangaa eti yy ndo ameninunulia p2, akili ikagoma kabisa kukubali. Nikatafuta upenyo nikanywa p2 ya kwangu.!!
Sasa baada ya mwezi ananiuliza hujisikii kula embe mbichi au usingizi hivi?? Nikamjibu, nasikia hamu ya chips kuku. Acha aniporomoshee mitusi, kumbe ile siku liliniwekea piriton
Nisingetumia akili ya ziada ningempa mtoto kizembe![]()





Isiwe na ukungu wala umande tafadhari, picha iwe HDSoon ngoja niangalie nzuri nzuri





Wooooiiii 😂😂😂😂😂maskin shemu wetu,mi sijawahi tumia izo p2 hata kuziona sijawahi na uzazi wa mpango naotumia ni kuhesabu mzunguko sjui ndom mara vijiti mimi hapanaaa,,nikakaa sasa nikatamani katoto aaaaiiiii weeeee si nikajibiwa aloooh katoto kazuriiiiiii aaah kazuri bwana weweeeeeeeeeIlitakiwa uwe na p2 pembeni kabla ya game.😂😂😂
Mwenzio shem wako alikuwa anafosi nimzalie siku hiyo nikashangaa eti yy ndo ameninunulia p2, akili ikagoma kabisa kukubali. Nikatafuta upenyo nikanywa p2 ya kwangu.!!
Sasa baada ya mwezi ananiuliza hujisikii kula embe mbichi au usingizi hivi?? Nikamjibu, nasikia hamu ya chips kuku. Acha aniporomoshee mitusi, kumbe ile siku liliniwekea piriton 😂😂😂😂
Nisingetumia akili ya ziada ningempa mtoto kizembe 😂😂😂😂
umeanza kunanga infinix zetu sasaIsiwe na ukungu wala umande tafadhari, picha iwe HD
![]()
tayari,, naomba zawadiUkishapata uje nikupe zawadi
Kuna wanaume jau sana 😂😂😂
Uduguu usinikumbushe jana 🤣🤣🤣🤣Isiwe na ukungu wala umande tafadhari, picha iwe HD
![]()
nimeijua namtag apa kivumbi kianze aseee😂😂😂😂😂😂Uduguu usinikumbushe jana 🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kuna picha nimeona imepita nyie mi sitaki khaaaaaa!!!!
Ila nini uduguu fashion zingine zitupite 🤣
Waoooh!! 🥰🥰🥰 MashallahWooooiiii 😂😂😂😂😂maskin shemu wetu,mi sijawahi tumia izo p2 hata kuziona sijawahi na uzazi wa mpango naotumia ni kuhesabu mzunguko sjui ndom mara vijiti mimi hapanaaa,,nikakaa sasa nikatamani katoto aaaaiiiii weeeee si nikajibiwa aloooh katoto kazuriiiiiii aaah kazuri bwana weweeeeeeeee
😂😂😂😂 Yupi? Mi nasemea wa mtaani kwetu huku bonyokwanimeijua namtag apa kivumbi kianze aseee😂😂😂😂😂😂
weeeeee ni mzuri bwan,,hadi kuna jamaa mmoja aliniangalia mimi black then toto white zuriiiii,,, unajua alinambiaje😂😂😂,,eti nilim'baka babake ili nizae naeWaoooh!! 🥰🥰🥰 Mashallah
Katakuwa kamcute km mama yake!!
Mi sio fala weweeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Yupi? Mi nasemea wa mtaani kwetu huku bonyokwa