Selfika na JF: Snap it. Show it

Nashangaa wanaojianika humu ulimwengu wa fake ids!!! Humu usijulikane na yeyote mahi, kitumbili kimoja kikikujua tyuu kitaanza hekaheka km mwali aliyelipiwa mahari sasa bwana kachelewa kumfata hizo fujo zake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
hata hilo sijali pia,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uliskia wap zombi akawa na feelings
 
kumbe hua unaumwa,,aya ayaaa leo weekend sass
Wee hukushangaa juzi na jana nilikuwa mwingi Jf?? Nilishikwa na tumbo lile wanaita sijui chango weeeh!! Pale nilikuwa nachat ila maumivu sasa!! Wohiii sitaki kukumbuka!!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nilikuwa namuona Israel ananikonyeza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Polee sana Hilo tumbo balaa Kuna siku lilimkamata mke wangu hadi nikalia usiku kucha nilimpa hadi Panadol lakini haliku powa 😭
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎio kitu nimeikwepa kwasasa,,linauma kama uchungu aseeeee,, enewei pole sana wiifii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…