Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,193
- 33,580
Huyo jamaa ni mjanja😂😂😂😂 Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??
Huyo jamaa ni mjanja😂😂😂😂 Kwahiyo na wewe unaunga mkono hoja??
Wala, Ila ww ni mjanja. Huku jf Kuna mazwazwa mengi, wajanja wapo wachacheHapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswa
Nipe wifi bana 😂😂😂aaah nataman nikupe siri ya mwili wangu ila nitakudanganya 😂😂
Kwani nani mjinga?Huyo jamaa ni mjanja
Unabaki unazizungusha tuu 😄Mhmm!! Huko sasa kujifariji 😂😂😂
Muulize raraa reree anavyoshinda anavigonganisha 🍒 pale pisi zinapogoma kwenda maghetoni
Wala usitulize komwe muombe picha akupe uthibitishe, mi sipo naye mbona..!!Hapa ngoja nitulize komwe, huenda mmekaa sebuleni kimahaba mnabadilishana simu huku mnaangalia Scotland anavoteswa
😂😂😂😂 ila raraa unazingua ujue!!Unabaki unazizungusha tuu 😄
Aaaaaah ndio uhalisia huo 😄😂😂😂😂 ila raraa unazingua ujue!!
Ile siku nilicheka sana basi tu
wacha mimi nirare thathaNipe wifi bana 😂😂😂
Ila wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri 😂Aaaaaah ndio uhalisia huo 😄
Mizinguo haikosekani hata uwe naeIla wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri 😂
Mimi naangalia mpira hapa, ukiisha nalalawacha mimi nirare thatha
Sio sana km huna kabisa bana 😂Mizinguo haikosekani hata uwe nae
ajah urare sarama wiviiMimi naangalia mpira hapa, ukiisha nalala
Ina tegemea mtu na mtu 😄Sio sana km huna kabisa bana 😂
Nipatie mdogo wako😁Ila wanaume mnateseka sana halafu Mpaji Mungu anaona kuwa na mke sio vizuri 😂
Ntafanya ujinga wote sio kusogeza pua yangu Kwa watu wanaoshare shuka, usiku wa manane wanaamka wanajadili mambo yao wanablesiana wanaomba Mungu wanalalaWala usitulize komwe muombe picha akupe uthibitishe, mi sipo naye mbona..!!