Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 10,547
- 22,982
kwenye picha hapo unanivuruga😂😂😂😂😂😂 Utashindwa mapema nakwambia, kwanza tupia pic nikuone wifi
kwenye picha hapo unanivuruga😂😂😂😂😂😂 Utashindwa mapema nakwambia, kwanza tupia pic nikuone wifi
umeanza dharau sasa😂😂😂Ni mimi kweli sitanii basi tunafanana 😂😂😂
My dear friend Mahondaw ☺️Wee new version ya mkwepujr nataka nirareee miee hujajisnap tu?? 😴💤💤💤
Kuja uubles Usiku wangu aseee ahadi ni deni
Nakuvuruga nini wifi?? Tupia tuone English figure hiyo 😍kwenye picha hapo unanivuruga😂😂
Kweli tena na mchanga nalamba 😂😂😂umeanza dharau sasa😂😂😂
Embu rudia tena forever and forrr whaaat......... 😄Forever and alwayssssss!!
Nasubiria 🤳 yako nipumzishe fuvu langu ujueee usiniangushe mr likes
situmi na hutonifanya kitu😂😂😂afu mbona unalazmisha ivo,, usalama upo kwelNakuvuruga nini wifi?? Tupia tuone English figure hiyo 😍
ile minyamanyama ya kikinga ya jana ilikua ya nani😂😂Kweli tena na mchanga nalamba 😂😂😂
Umeanza ngenga sasa Mr likes chat na picha pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!Embu rudia tena forever and forrr whaaat......... 😄
Usalama upo kila mahali we tuma wifi jiachie kwa raha zako 😂😂😂😂situmi na hutonifanya kitu😂😂😂afu mbona unalazmisha ivo,, usalama upo kwel
Unalala sahv kuna michuano ya EURO 2024 sherehe zimepamba moto muda huu 🔥🔥🔥😄Umeanza ngenga sasa Mr likes chat na picha pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!
Mie lasaba D kizungu nilifeliiigiiiii Mr likes hapo nilikariri masaa mawilii 😁ukinambia nirudie ntajing'ata ulimi
Do the needful 🤳 nikarare mieee
Wanakuja na malengo ukikazia msimamo unamkosa😂😂😂😂 Unammudu huyu winga, ni wewe kushikilia misimamo ya kiumeni
😂😂😂🤣 Itakuwa una kengeza mi nyama nizitoe wapi??ile minyamanyama ya kikinga ya jana ilikua ya nani😂😂
hata ungekua wew usingetuma,,na huyo alokutuma mwambie hujankuta 😂😂😂😂😂😂😂😂 tokaaaUsalama upo kila mahali we tuma wifi jiachie kwa raha zako 😂😂😂😂
Aiseeee! Bas we unakosa mengiNyama ya 🐷 sijawahi kuipenda
mimi sasa nna kengeza😂😂😂😂sawa😂😂😂🤣 Itakuwa una kengeza mi nyama nizitoe wapi??
Kweli?? 😂😂😂Wanakuja na malengo ukikazia msimamo unamkosa
Hiyo midudu inapenda uchafu, inakulaga had watoto wake 🤮Aiseeee! Bas we unakosa mengi
Hv njombe si wadada flan wafupi wanene😁Kweli?? 😂😂😂
Huyu hawezi bana kafundwa kafundika, watu wa nyanda za juu kusini tuko vyedii sana