Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,097
Nkamu ngunyani umebeba na mbalaga??
Nkamu ngunyani umebeba na mbalaga??
Na kweli ulipoaaaaaaaa 😂😂😂Tatizo ni nyie mnaobaki humu hamuuchangamshi huu uzi, unapoaa kabisaaa, had modes wanamic heka heka zetu wachachuaji.
Wanabakii kutuachia huruu,![]()
Nkamu umerudi😍🔥🔥🔥🔥🔥Nkamu ngunyani umebeba na mbalaga??
😂😂😂😂Shukrani za dhati zimuendee mama Dr Samia kwa kuturudisha tena watoto wake Selfika 🤣🤣🤣
Nimerudi Nkamu gwangu 😍😍😍Nkamu umerudi😍🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣 Mama hana baya😂😂😂😂
😂🙌😂😂🙌😂😂🤣🤣🤣 Mama hana baya
Mwee agedNimerudi Nkamu gwangu 😍😍😍
Uzi tunao na tunatamba nao 😂😂😂Wenye Uzi wao wamerudi Kasi ya 6G
Ugonjwa gani huu
Kumbeee?? Sema huu uzi unapitia misukosuko km ndoa ya kiwete 😂😂😂Mwee aged
Uzi ulipoa ukawa unaboa
C ndiwooooKweli uzi ulipoa sana hadi wadau wa kale tukaamua kuususia




Upo kongo huu.Ugonjwa gani huu
uduguu wanakuchokoza huku


wanatafuta niyavagae, wanirudishe Butimba, sahivi nataka Segerea.We muhalifu umerudi?![]()



tumerudishwaaa!! Vipi tunaanzia tulipoishia au?Baadae dear uduguu,Na kweli ulipoaaaaaaaa
Uduguu wangu selfika basi, siku ile ulinidanganya


