Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,707
Hayo ndiyo maeneo sahihi ya sisi Wazee kuishi, maana pamoja na kikokotoo hiki kipya kuathiri pension zetu bado unabaki na hela kidogo ya kumudu maisha (inflation rate huko ni Chini kuliko maeneo mengi ya Mjini) 🤗Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakula😂
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatari🔥🔥🔥
Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.
Kingine ukihitaji kufanya mazoezi (Kwa sisi Wazee 😜) unaenda kuogelea Matema beach ama ile beach ya CDF Mwamunyange 😅🙌
Nipe mwaliko nije nikusalimie kuvuna Mpunga huko Kyela 😜

