Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakula😂
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatari🔥🔥🔥

Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.
Hayo ndiyo maeneo sahihi ya sisi Wazee kuishi, maana pamoja na kikokotoo hiki kipya kuathiri pension zetu bado unabaki na hela kidogo ya kumudu maisha (inflation rate huko ni Chini kuliko maeneo mengi ya Mjini) 🤗

Kingine ukihitaji kufanya mazoezi (Kwa sisi Wazee 😜) unaenda kuogelea Matema beach ama ile beach ya CDF Mwamunyange 😅🙌

Nipe mwaliko nije nikusalimie kuvuna Mpunga huko Kyela 😜
 
The vibe
FB_IMG_17169077912867950.jpg
 
Back
Top Bottom