Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naona unataka kunizibia riziki nisiigize🤗

Tukuyu mnawahi sana Kulala usiku sijui kwanini, Kuna Siku nilikuwa natoka Matema beach, sasa bahati mbaya mafuta yameisha kwenye gari majira ya saa 12 Jioni, Kila kituo cha mafuta (Sheli) imefungwa

Nimekuja kupata mafuta kilomita chache kufika Uyole 🙌
Mwakemwake yupo😂

Tukuyu hawana shida za Rejareja😂
Washaridhika na maisha
 
Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Kumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?

Siku nikija Tukuyu nitasimama tuchome Kuku hapo 👊
 
Mwakemwake yupo😂

Tukuyu hawana shida za Rejareja😂
Washaridhika na maisha
Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo 😜

Tukuyu utasema ni sehemu ya Mkoa wa Tanga maana wote ikifika Jioni tu wanafunga biashara na kwenda kulala 🙌

Hapa natafuta doc ya NBS nijue birth rate yao ni ngapi, usikute ndiyo inaongoza Kwa Mkoa wa Mbeya 😜🙌
 
Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo 😜

Tukuyu utasema ni sehemu ya Mkoa wa Tanga maana wote ikifika Jioni tu wanafunga biashara na kwenda kulala 🙌

Hapa natafuta doc ya NBS nijue birth rate yao ni ngapi, usikute ndiyo inaongoza Kwa Mkoa wa Mbeya 😜🙌
Uzuri Chakula kipo cha kutosha😂😂😂
Wacha tuijaze Dunia Wana Tukuyu😂😂😂😂
 
Naniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine 😀😃😄😁😆
Acha kutuonea Wazee Mkuu, si unajua sisi Wakulima pesa zetu hadi tuuze Chai Kwa Mohamed Enterprises hapa Tukuyu 😜
 
MPENZI WANGU NATAKA NIMPE DUNIA KWAHYO MJIANDAE PA KWENDA🥰🥰


KUPENDWA RAHA😍😍
IMG-20240607-WA0101.jpg
 
Back
Top Bottom