Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Mwakemwake yupo😂Naona unataka kunizibia riziki nisiigize🤗
Tukuyu mnawahi sana Kulala usiku sijui kwanini, Kuna Siku nilikuwa natoka Matema beach, sasa bahati mbaya mafuta yameisha kwenye gari majira ya saa 12 Jioni, Kila kituo cha mafuta (Sheli) imefungwa
Nimekuja kupata mafuta kilomita chache kufika Uyole 🙌
Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.Mwakemwake yupo😂
Tukuyu hawana shida za Rejareja😂
Washaridhika na maisha
Kumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?Upo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Naniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine 😀😃😄😁😆Kumbe wewe ndiyo uko hapo barabarani karibu na hiyo Ofisi ya nanii......?
Siku nikija Tukuyu nitasimama tuchome Kuku hapo 👊
Nitapita hapo MkuuUpo tukuyu sehemu gani? Njoo hapa KK utanikuta. Ukiulizia kwa dingi la mishe a.k.a Nanin...........avocado nipo.
Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo 😜Mwakemwake yupo😂
Tukuyu hawana shida za Rejareja😂
Washaridhika na maisha
Karibu na nicheki inbox.Nitapita hapo Mkuu
Nikukute na maparachichi ya kutosha
Uzuri Chakula kipo cha kutosha😂😂😂Kweli utasema hawana hizo shida ndogo ndogo 😜
Tukuyu utasema ni sehemu ya Mkoa wa Tanga maana wote ikifika Jioni tu wanafunga biashara na kwenda kulala 🙌
Hapa natafuta doc ya NBS nijue birth rate yao ni ngapi, usikute ndiyo inaongoza Kwa Mkoa wa Mbeya 😜🙌
Sawa MkuuKaribu na nicheki inbox.
Acha kutuonea Wazee Mkuu, si unajua sisi Wakulima pesa zetu hadi tuuze Chai Kwa Mohamed Enterprises hapa Tukuyu 😜Naniii......... nini dogo? Acha mbwembwe, hunijui pia huna pesa za kuchoma kuku na mimi. Watishie hao maskini na wanaojitafuta akina dronedrake na mshamba_mwingine 😀😃😄😁😆
Kweli chakula mnacho cha kutosha, niliona kiroba cha Viazi 20k Mwaka fulani 🙌Uzuri Chakula kipo cha kutosha😂😂😂
Wacha tuijaze Dunia Wana Tukuyu😂😂😂😂
Ipi 😂😁😎 njoo Tena uselfike 😎Kila siku nilituma kwenye ile nyingine mbona
Nimekumiss kweli, niPM basi😊My dear Ex, mimi mzima... 🤣🤣🤣🤣🤣
Jack Palladino
Muone 😄😄😄😄 si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack PalladinoNimekumiss kweli, niPM basi😊
Hivi Valentina yupo kweli? Ndio narudisha majeshi hivyo, sijielewi nakumiss tu😊Muone 😄😄😄😄 si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino
Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikumbwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️Hivi Valentina yupo kweli? Ndio narudisha majeshi hivyo, sijielewi nakumiss tu😊
Njoo PM chap tuyajenge my ex😅Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikubwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Mwenzako niliachikaMuone 😄😄😄😄 si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino