Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The vibe
FB_IMG_17175142960391521.jpg
 
Kumbe ulishatoa na Avatar!!! Ulikubwa na nini? Maana huishiwa mabalaa Ex. Nina maumbea kama yote 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️

Muone 😄😄😄😄 si unanijua, usije ukarudisha majeshi. Kwanza rafiki yangu Valentina unamtreat vizuri? Una mpya za kuniambia ama? Jack Palladino
Ina maana mm ndyo nipo singo muwe na huruma basi
 
Sawa sweetheart...
Uwe na usiku wenye mapepo na wanga wakikuchezea singeli...
😅😅😅
Mapepo Singeli wanacheza hivi kama iblisi Smart😁 🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺!
Wakicheza nawabinulia waichezee vizuri 💃🕺!

💤💤💤😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤
 
Kweli chakula mnacho cha kutosha, niliona kiroba cha Viazi 20k Mwaka fulani 🙌

Nikaribisheni Babu yenu nije nilime huko 😜
Shida huku killa mtu amelima
Hakuna wa kumuuzia mwenzie chakula😂
Nimepita jana hadi roho ikaumia namna vitu vinauzwa bei ya chini
Ni hatari🔥🔥🔥

Huko Kyela ndiyo mipunga inavunwa
Bei kitonga sana,ndiyo muda wa kununua magunia ya kutosha.
 
Back
Top Bottom