Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The vibe
FB_IMG_17093657787806516.jpg
 
Hongereni kutuletea movie Kali Mjini 🤗

Hivi hakuna nafasi ya Mzee kuigiza? Nipeni hiyo nafasi tafadhali 🤗

Kesho nitakuja kuwaunga Mkono Kwa kuwaletea walau Maji ya kunywa mkiwa hapo location 😜
Mwakemwake anatosha😂
Karibu Tukuyu tuvune michaichai
 

Attachments

  • IMG_20240608_163227_970.jpg
    IMG_20240608_163227_970.jpg
    1.9 MB · Views: 6
  • IMG_20240608_165136_517.jpg
    IMG_20240608_165136_517.jpg
    1.5 MB · Views: 7
Mwakemwake anatosha😂
Karibu Tukuyu tuvune michaichai
Naona unataka kunizibia riziki nisiigize🤗

Tukuyu mnawahi sana Kulala usiku sijui kwanini, Kuna Siku nilikuwa natoka Matema beach, sasa bahati mbaya mafuta yameisha kwenye gari majira ya saa 12 Jioni, Kila kituo cha mafuta (Sheli) imefungwa

Nimekuja kupata mafuta kilomita chache kufika Uyole 🙌
 
Back
Top Bottom