Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,907
- 57,707
Marahaba Mjukuu, habari za huko Mjini?Carrasco akili zake anazijua mwenyewe babu!
Shkamoo !
Bibi yako anakusalimia sana, anasema umletee Wajukuu zake acheze nao 🤗
Marahaba Mjukuu, habari za huko Mjini?Carrasco akili zake anazijua mwenyewe babu!
Shkamoo !
Hujui alikuwa mchumba wangu nina maumivu gan hapa sshv mxiewww😡😡😡😡Ndoa ni jambo jema!
Kila lenye kheri katika ndoa yake!.
Tumemmisoo balaa
Alayna ukija usisahau kutubles mamito
Babu yenu nimekuwa mwoga sana wa sindano, bora mnipe dawa tani 30 nimeze kuliko sindano 5🙌Sa ukimbie vipi tena?? Hahah 🤣 🤣 na wanaume ndo waoga wa sindano 🤣 🤣
Huku barida sana babu!Marahaba Mjukuu, habari za huko Mjini?
Bibi yako anakusalimia sana, anasema umletee Wajukuu zake acheze nao 🤗
Karibuni sana na Mkwe wetu 🤗Huku barida sana babu!
Namie nimewamiso msamilie sana bibi nawengine huko!
Nimetingwa kidogo but Soon ntakuja kuwasabahii babuu msijareee kabisa!
😊😊😁😁😁Hujui alikuwa mchumba wangu nina maumivu gan hapa sshv mxiewww😡😡😡😡
Nitacome nae babuu limeisha hilooo!Karibuni sana na Mkwe wetu 🤗
Tumeandaa Jogoo wawili kwaajili yenu 😜
Karibuni sana Mjukuu 🤗Nitacome nae babuu limeisha hilooo!
Hapo kwa jogoo sasa kama unajua vileeee 😋😋😋!
Wabheja sana
Aamin Tumekaribia babu!Karibuni sana Mjukuu 🤗
Karibu Babu tupunge upepo KawetereKawetere highland 🙌
Naunga mkono hoja comment ya chini kabisa 😂
Asante Mjukuu nitakaribia...🙏🙏Karibu Babu tupunge upepo Kawetere
Kumbe nilipitwa na ujumbe 🤗Aamin Tumekaribia babu!
Nataka nirare babu Naomba uublesi usiku wangu kwanza nirare vizuri!
😴😴💤💤💤😴😴💤😴💤😴💤😴😴
Nani aoe😊😊😁😁😁
Kumbe ukimlavu mtu na ukaona Mambo yake yanaenda mukide mukide ndio huwa inauma hivo shenzetypee 🐒🐒!
Ndio ukome dogo Pambana naharee yako no way 😁
Hivi Dogo harusi yako iliendaje lakini si ilikua desemba 2023??
Here waiting babu!Kumbe nilipitwa na ujumbe 🤗
Leo mapema nitapandisha picha yangu ya Mwaka 47 nilipokuwa Kijana 😜
Ndoa ni baraka ndoa tamu dogoNani aoe
Umependeza babuu hakika mchana wangu unaenda kuwa barrrrrriiiddaaa kabisaaa! Santo sana!View attachment 3011794
Wacha tukasalimie Wajukuu 🤗