Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,253
- 183,155
Umependeza babuu hakika mchana wangu unaenda kuwa barrrrrriiiddaaa kabisaaa! Santo sana!View attachment 3011794
Wacha tukasalimie Wajukuu 🤗
Kila la kheri babu wasamilie uendako!
Umependeza babuu hakika mchana wangu unaenda kuwa barrrrrriiiddaaa kabisaaa! Santo sana!View attachment 3011794
Wacha tukasalimie Wajukuu 🤗
Asante Mjukuu, Wacha nimfate Bibi yenu huko huko MjiniUmependeza babuu hakika mchana wangu unaenda kuwa barrrrrriiiddaaa kabisaaa! Santo sana!
Kila la kheri babu wasamilie uendako!
Atakua kanogewa mjini kutamuAsante Mjukuu, Wacha nimfate Bibi yenu huko huko Mjini
Maana tangu aende kusalimia Wakwe zetu huko Mjini, hajarudi huu Mwezi wa 7 sasa 😜 🙌
Kwa kweli Mjukuu, Wacha niende huko huko Mjini maana nikifanya mchezo hili baridi litaniua Babu yenu 😜Atakua kanogewa mjini kutamu
Komaa ukalinde mali yako asee dunia imeharibika babu ukizubaa wanakusaidiaKwa kweli Mjukuu, Wacha niende huko huko Mjini maana nikifanya mchezo hili baridi litaniua Babu yenu 😜
Kwamba pamoja na Umri wetu wa Uzee Kuna Vijana wa hovyo wanaweza kuniibia Bibi yenu?Komaa ukalinde mali yako asee dunia imeharibika babu ukizubaa wanakusaidia
Watu hawataki jua hayooo babu wanateleza tu !Abiria chunga mzigo wakoKwamba pamoja na Umri wetu wa Uzee Kuna Vijana wa hovyo wanaweza kuniibia Bibi yenu?
Nitamshusha mtu busha bure 😜 🙌
Miss you Madam❤️ unaendeleaje?
Nimefurahii zaidi dear 🥰Alayna asalaam aleykum!👋👋👋👋
Nimeona kivuli chako leo nimefurahi kukuona mamy
Anaonekana hajaacha haha at least anatufanya tutanue mapafu kwa kicheko!
Hapo uliposema watu wanateleza tu, umefanya Kisukari na Presha yangu viwe juuWatu hawataki jua hayooo babu wanateleza tu !Abiria chunga mzigo wako
Hahaha Comments zake huwa zina chekesha sanaAnaonekana hajaacha haha at least anatufanya tutanue mapafu kwa kicheko!
Karibu tena selfika dear usipotee bila kutubles walai!
Carasco Putin mchumbako kaja kukufuata hukuu🗣️🗣️😊
True love comes with jealous in it babu khakhakhaaaa! Kumbe hadi wazee mna wivuu😊!Hapo uliposema watu wanateleza tu, umefanya Kisukari na Presha yangu viwe juu
Naona Mjukuu unataka Babu yenu nife Kwa Wivu 🙌
Yeah anachekesha sana! Usisahau kaforoo ka kuubles mchana wetu jamanee!Hahaha Comments zake huwa zina chekesha sana
anakipaji hajui tuu😄😅
Aliyesema Wazee hatuna wivu nani😅True love comes with jealous in it babu khakhakhaaaa! Kumbe hadi wazee mna wivuu😊!
Nilikua sijuiiii
Tupo hapa kijijini KawetereAsante Mjukuu nitakaribia...🙏🙏
Hivi unaishi hapo Isanga ama upo kule Mjini? Kesho nitapita hapo 🤗