Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_2439.png
 
Nipo town mzee wangu ,uwa narudi kijijini nikimaliza mshahara wote 😖
Hahaha.......... that's real interestingly

Unanikumbusha Mwaka 47, mmoja wa co-worker ofisini kwetu aliyekuwa na tabia kama yako

Ilikuwa akiondoka tarehe 30 basi kurudi ofisini tena ilikuwa baada ya Siku 8 hivi tangu mshahara utoke, na akirudi hawi hata na mia mbovu 😜🙌

Nikirudi tena nitakucheki, ngoja nikawasalimie ndugu zetu Wagogo 🤗
 
Screenshot_20240530-070425_1.jpg

Nimejaribu kukumbuka kisa cha Mzee mwenzangu aliyeachwa na Mpenzi wake Mwaka 1982 😜

Imagine ulikuwa ukinywa Maji unamwona kwenye glass

Hupati Usingizi usipopata meseji yake ya goodnight baby, hata kama meseji yenyewe unatumiwa saa 11 jioni🙌

#Tafadhali nieleze nawezaje kuishi bila wewe

Wazee pia huachika 🙌

Good morning 🥂
 
Hahaha.......... that's real interestingly

Unanikumbusha Mwaka 47, mmoja wa co-worker ofisini kwetu aliyekuwa na tabia kama yako

Ilikuwa akiondoka tarehe 30 basi kurudi ofisini tena ilikuwa baada ya Siku 8 hivi tangu mshahara utoke, na akirudi hawi hata na mia mbovu 😜🙌

Nikirudi tena nitakucheki, ngoja nikawasalimie ndugu zetu Wagogo 🤗
Sawa kabisa ,karibu tena ndugu .
 
Back
Top Bottom