Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,135
Ule bado unaishi!mi ni wangu uleHahahahaha...ule ushapita Rafiki au ndio unataka kuutumia? Halafu usikute ulikuwa unakuhusu , ukqpotezeq
Ule bado unaishi!mi ni wangu uleHahahahaha...ule ushapita Rafiki au ndio unataka kuutumia? Halafu usikute ulikuwa unakuhusu , ukqpotezeq
Hahahahaha kama ni wako uchukue haina tatizoUle bado unaishi!mi ni wangu ule
jua lime akisi vyema dada
Mwamba Huyu hapa!💚💛💪💪
Hahaha.......... that's real interestinglyNipo town mzee wangu ,uwa narudi kijijini nikimaliza mshahara wote 😖
Hivi si tulikubaliana mpira ni dhambi Mjukuu 😜
Basi babu situmii tena, sitaki utesekeHivi si tulikubaliana mpira ni dhambi Mjukuu 😜
Kweli hii miaka mitatu mmeamua kututesa mtani🙌
Nashukuru kujali afya zetu Wazee, maana Presha iliishaanza kupanda hapa 😜Basi babu situmii tena, sitaki uteseke
Sawa kabisa ,karibu tena ndugu .Hahaha.......... that's real interestingly
Unanikumbusha Mwaka 47, mmoja wa co-worker ofisini kwetu aliyekuwa na tabia kama yako
Ilikuwa akiondoka tarehe 30 basi kurudi ofisini tena ilikuwa baada ya Siku 8 hivi tangu mshahara utoke, na akirudi hawi hata na mia mbovu 😜🙌
Nikirudi tena nitakucheki, ngoja nikawasalimie ndugu zetu Wagogo 🤗
mashallah 💓💓😍❤️❤️
Ingawa bado siku moja mwezi kuisha ila kushukuru tu.
Hakika.....I
Ingawa bado siku moja mwezi kuisha ila kushukuru tu.
Without the mercy and grace of God hatutoboi!
Swadakta