Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The most beautifullest thing in this world!

IMG_6492.jpeg
 
Mzee hio 1982 hizo message mlikuwa mnatumiana kwa kifaa kipi?
Nakumbuka kulikuwa na zile rotary phones, unazungusha na kidole.
il_794xN.4373263773_rehs.jpg

Mama yangu alinisimulia, Hizo alphabet zilikuwa zinatumika kam number, kuna baadhi ya number zilianza na alphabet, hivyo alphabets haikuwa kwa ajili ya kutuma sms kwa sababu hata screen haikuwa nayo hio simu ya rotary.

Number "0" ulikuwa unawapigia operators for assistance, ni kama customer care sasa hivi, ndio maana unaona imeandikwa operator hapo.
Umewahi kusikia simu ya upepo?

Ilikuwa unapiga kisha unaacha ujumbe wa sauti 🤗🙌
 
Humu wazee tupo wachache sana hata kuandika tu ni tabu sasa kijana we unacontrol keyboard kama unapiga kinanda afu unataka tukae kingdom Moja na sisi tuliokuepo kipindi cha vita vya Uganda
Hahaha...........huenda nikawa Mzee Kwa umri kuliko wengi humu, useme kinachosaidia kuandika ni ile app ya kuongea then yenyewe ina-convert the spoken words into writings

Nimekula chumvi nyingi Mkuu 😅😜
 
Back
Top Bottom